Dawaaa yaa moooto ni mooootoo,hili naliona likiwanyemelea washenzi fulani wa ushenzini.Balaa lote hili lilianzia hapa
View attachment 3226353
Hatari sanaDawaaa yaa moooto ni mooootoo,hili naliona likiwanyemelea washenzi fulani wa ushenzini.
Na mpaka wathemeKuna Dada mmoja wa JF alikuwa anjiita HR nilimuomba E-mail kipindi nipo chuo mwaka 2010 nilikuwa namalizia diploma
Alinikazia na kuninyima sasa huwa namsalimia Mara Kwa Mara
Baada ya zuio la trump amekuwa mpole Sana .
So acheni hizo nyie waswahili Leo mnarudi mtaani Kuwa jobless
Kiko wapi
Roho mbaya hizo za kuombea Watanzania wakose kazi. Hata yeye akikosa kwani wewe utaipata hiyo kazi?Nauliza kiko wapi