Uchaguzi 2020 Hawa wakienda kupiga kura Oktoba 28, CCM hatuna chetu!


Hizo ni KURA TOSHA KABISA za kuhitimisha Utawala Dhalimu wa CCM ya Dikteta Pombe ya Magufulication......!!!
 
Ukitaka kujua nan anashinda huu uchaguzi ni simple sana! mskilize mgombea mwenyewe kwa makini utajua nan anashinda

We are in 2020 General election, wewe unaleta mambo ya Lowassa wa 2015?

You are joking, right ?

Hata kama hutanii, Edward Lowassa in 2015 won the election massively in the BALLOT BOX....

Changamoto kubwa ya uchaguzi kama tulio nao hapa Tanzania ni KUSHINDA katika sanduku la kura na KUTANGAZWA....

If they do their home well to solve this problem, there's no doubt that the opposition will massively win this year's election....!!
 
CCM wenyewe hawamtaki kwa vile ameinyang'anya CCM kutoka mikononi mwao na kuweka kwa watu wake wachache
 
Nyie mnaota!!
Waliobomolewa ni ngapi ya watanzania wote
Waliosoma NAMBA ni ngapi ya watanzani wote
Jobless ni wangapi ya watanzania wote
Ushindi WA CCM mwaka huu itakua ni Sawa na daladala za Mbagala Anashuka Mmoja Wana panda 5,
Tathiminj tunazo tayari Wana CCM!!
Na mwaka huu Goli la mkono hatutumii
Ushindi Upo palepale
 

are you done assuming? hakuna chama tanzania hii kinaweza kuitoa ccm madarakani hata vyama vyote vikiungana
 
Watu wanapenda kutumia msemo wa "kuona mbali" kama kigezo cha kutetea kile wanacho kiamini au kuona ni sahihi kwa mtazamo wao.

(Huko mbali hivi huwa ni wapi?)
 
Ongezea basi na wanaodai mafao yao na hawalipwi hata kama wamefikisha miaka sitini.
Wanaodai mafao yao na hawalipwi kwa wakti,miezi na miezi wanasubiri utafikiri wanasubiri mkopo kumbe ni hela zao.
Walionunua drones ili wajiongeze na kujiajiri lakini leo wanatakiwa kusajili zaidi ya laki mbili kila mkoa.
Walioaanzisha blogspot na kulazimishwa kuzisajili utafikiri wameajiri kampuni ya mtaji wa bilioni Ishirini.
Napenda sana kufanya utani hasa niapokuwa nimevuta kile kitu chetu cha CHUGA a.k.a CHUGANISTANI
 
Ndiyo maana namomba Lisu akazie sana watu hapo juu uliowataja, hawa kila mmoja angalau awavute watu 10 wa kumpigia kura Lisu, basi kama ulivyosema mchezo umekwisha!
Unadhani ni kaxi rahisi kuwapata hao 10 wa uhakika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…