Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sahihi..
Ingawa mimi nahis hii inaweza ikawa message anatumiwa mtu publicly kwamba "kuwa makin bwana mdogo unapopota tunapaona, unalalia ss tulisha amkia hapo kitambo"
Sio njia sahihi ya ku deal na huyo unaye muhisi. Kwa sababu kama wamemuanza hivi yeye anaweza kuamua kuwamaliza mapema.
 
Wambulu walisomesha watoto, wazee wao enzi hizo hawakusoma hata darasa moja. Uliza Karia kasoma wapi achana na babu yake.
Lazima tukuulize kuhusu babu zako walau tujue chimbuko lako. Maana taarifa zako pekee hazitoshi kutuelezea uraia wako
 
Cha kushangaza hapa siwasikii wajaluo, wamasai, na watu wa kusini. Kwanini always Kigoma na Kagera. Kuna Siri gani. Kwanini mnawaogopa the so called wahamiaji haramu wa mkoa wa kigoma na Kagera na si wa mara, Arusha, Ruvuma au Mtwara.
Ukienda Musoma, wajaluo na wakurya, wengi tu wanmesoma hadi shule kenya, wana ndugu zao kenya na Tanzania, ila hawana shida. ukienda Mtwara, wamakonde na wayao wapo pande zote mbili za msumbiji na Tanzania, ukienda Mbeya kuna muingiliano mkubwa sana na wazambia na wamalawi,wameoleana mno, in fact wafanyabiashara wazuri wengi wa Lusaka kwa wale waliofika kule, ni wakinga na wanyakusa, na wanaongea kinyakyusa, kikinga na kiswahili hiki cha kwetu na likizo za mwaka huwa wanarudi na hawafanywi kitu kwasababu wanalipa kodi kule zambia. ukienda kwa ndugu zangu wachagga, na wameru, sio ajabu majina ya koo kuingiliana pande zote mbili, kama wameru ndio hadi kenya kuna eneo na kabila la wameru, ukienda Tanga ndio usiseme wanaingiliana na makabila, hivyo ukienda kigoma, bukoba na Rukwa, usishangae kuona kuna wanyarwanda, warundi na wacongo wengi tu ila ni watanzania. mikoa ya mipakani ni kawaida kuwa na watu wa nchi zote.shida nadhani ni PK na sio makabila ya nchi hizo, watu hawampendi PK, kitu ambacho hata mimi huwa simkubali kabisa kabisa kwa ukatili wake. asingekuwepo PK hao wote wangeishi bongo kwa amani tu na suala hili lisingejitokeza.

hata hivyo, serikali ina mkono mrefu, kama wapo wanaoishi hapa kiitellijensia hao hawana nia nzuri, serikali ikamate mmoja mmoja kimya kimya uone kama wote wenye nia mbaya hawajakimbia kimya kimya. wataambizana kwamba mwenzetu kakamatwa na watasepa, ila wale wema hawana haja ya kufukuzwa. wengine ni wake za watu na waume za watu wanaprovide kwa dada zenu hapahapa tz.
 
Kweli Mkuu, kwenye ofisi zetu za umma kuna watu wana roho mbaya hujapata kuona!
Ukifuatilia uraia wao, wengi una mashaka.
Watanzania/Watanganyika wengi ni wakarimu na wana roho ya upendo.
Tulikosea sana kukaribisha wakimbizi kwa makundi makubwa na kuwapa uraia(massive citizen by naturalization/registration) wajumla kwa misingi ya Pan Africanism. pia tulichelewa mno kutoa vitambulisho vya Taifa. Pia chama tawala kimejikita mno kwenye kulinda nafasi yake ya kuendelea kutawala na kusahau wasaka fursa wakimbizi ambao wamejipenyeza kwenye chama na kujipatia madaraka kwa mifumo yake. Bora na mifumo ya zanzibar linapokuja suala la uraia na uzawa kwenye uongozi kidogo wako makini.
 
Mwaka 2014 serikali ya Tanzania iliwapa uraia wakimbizi 200,000 . Wengi wao wakiwa wa kutoka Burundi.

Huo ni mkupuo wa mwaka mmoja tu, na wakimbizi wanapata uraia kila mwaka.

Hawa nao hawastahili kuongoza chochote Tanzania?

hao wengi sana wapo Tabora, Shinyanga, na Katavi. na wengine wana sura za kitusi, wanaongea kirundi, na wanaitwa watanzania wa kabila la kihutu. nilishangaa sana nilipofika kuile. ila ni watanzania na wana haki zote na hawajawahi kuleta madhara yeyote.
 
List ya viongozi ambao si Raia wa Tz.

1. Dotto Biteko
2. Viongozi kazaa hapo GGM
3.
4.
5.
ENDELEA KUTAG
kwahiyo unataka GSM arudi Yemen alafu hizo biashara zake ahamishie Yemen? kwa hela yake mbona anakushangaa hata wewe unayembagua kapuku tu yeye anaweza kuishi popote duniani, wakati wewe hapo utakuwa unaomba Mungu upate hata passport tu ya kusafiri kwenda kenya, na haiwezekani.
 
Kasema kwakua KIZIMKAZI hasikilizi uko private. Ndio CDF kalileta Kwa uma watanganyika wajue. Na ss tunajua KIZIMKAZI analetewa majina n wapigaji ili ateue TU. Bila kushilikisha mamlaka zingine.
 
Back
Top Bottom