Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
safari hii wamepatikana wajanja kwa wajanja, ngoja tuone uhuru kenyata na raila odinga walikiona cha moto walipojifanya wenye nchi, ngoja tusubiri …
Kwahio wivu tu ndo husababisha chuki yote hiyo? Au watusi kweli ni tishio wana kitu cha ziada chenye kuleta tofauti baina yao na wabantu hasa kwa congo, ug burundi na tz?
Hawana cha tofauti ,hawapendi kukaa chini kutawaliwa ,Wana utemi kama ilivyo jamii zote za wafugaji wana kaubabe fulani ,sababu wafugaji toka Enzi wana kibunda(uchumi) kikubwa kuliko wakulima , na maeneo yao ya asili kabla ya kuhamia kwenye himaya za wabantu ,ni Makame(semi dessert) watutsi ni jamii moja na somali na ethiopian na ni jirani wa karibu maasai kiasili,wote wana asili ya Horn of Africa na pembezoni mwa mto Nile,
Sababu ya ukame ,the only way ya kusurvive ilikuwa kuevolve kibabe ili kupambania resource kiduchu,na huo ubabe ndo wameleta kwa wabantu ,wahutu kuwatawala.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Unajua mamlaka ya CDF hadi huko so called home affairs?
Mkuu wa JWTZ na juzi kati aliambiwa afanye kazi ya Jiji kuzoa taka.

Unajua misasa wewe unaheshimika sana humu Jukwaani Jf sijui nini kimekusibu.
 
Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.

watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Jiwe gizani🤣
 
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂

Lakini nimejiapiza kufanyanya research deep halafu nije nifungue uzi maalumu.

Dunia ya leo Waafrika tunatakiwa tuungane ili tupambane na Maadui wa Waafrika.

Watutsi na Wahutu ni Watu muhimu sana kwenye Bara hili la Afrika.
Masikini adui yake masikini naona
 
Tuanza na Upendo Peneza ni Mnyarwanda,pale Geita kuna wanyarwanda wengi sana,serekali kama wako serious waanze na ule mkoa,unafanya kazi na mdada pale GGM ghafla unashangaa unachangishwa mchango wa Harusi anaolewa Kigali kisha unaambiwa ni Mnyarwanda....waanze na Upendo Peneza na kaka yake Baraka
Baraka ndio nani huyo Mkuu hatumjui
 
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂

Lakini nimejiapiza kufanyanya research deep halafu nije nifungue uzi maalumu.

Dunia ya leo Waafrika tunatakiwa tuungane ili tupambane na Maadui wa Waafrika.

Watutsi na Wahutu ni Watu muhimu sana kwenye Bara hili la Afrika.
Wewe ni mtutsi
 
Back
Top Bottom