Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Salute MkuuTuanza na Upendo Peneza ni Mnyarwanda,pale Geita kuna wanyarwanda wengi sana,serekali kama wako serious waanze na ule mkoa,unafanya kazi na mdada pale GGM ghafla unashangaa unachangishwa mchango wa Harusi anaolewa Kigali kisha unaambiwa ni Mnyarwanda....waanze na Upendo Peneza na kaka yake Baraka
Ukiunganisha dot UNAPATA KITU KIZIMA
hata kuvutwa Lumumba ni bridge ya UVIRA