Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂

Lakini nimejiapiza kufanyanya research deep halafu nije nifungue uzi maalumu.

Dunia ya leo Waafrika tunatakiwa tuungane ili tupambane na Maadui wa Waafrika.

Watutsi na Wahutu ni Watu muhimu sana kwenye Bara hili la Afrika.
Kwahio wivu tu ndo husababisha chuki yote hiyo? Au watusi kweli ni tishio wana kitu cha ziada chenye kuleta tofauti baina yao na wabantu hasa kwa congo, ug burundi na tz?
 
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Magufuli alikuwa mkimbizi na sasa tuna naibu waziri mkuu mkimbizi. Kagame anatucheka tu
 
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂

Lakini nimejiapiza kufanyanya research deep halafu nije nifungue uzi maalumu.

Dunia ya leo Waafrika tunatakiwa tuungane ili tupambane na Maadui wa Waafrika.

Watutsi na Wahutu ni Watu muhimu sana kwenye Bara hili la Afrika.
Mimi nauliza, huyo mkimbizi kapewa uraia halafu ndiyo kapewa wadhifa? Au kapewa wadhifa bila kupewa uraia, akiwa mkimbizi tu?

Kwa sababu, kama kapewa uraia, kwa nini anabaguliwa kwa kuitwa mkimbizi wakati alishapewa uraia?

Na kama hajapewa uraia, inakuwaje apewe wadhifa bila ya kuwa raia?
 
Yupo kwenye nafasi gani ya maamuzi serikalini? Isome kwa makini speech ya cdf kabla ya kukurupuka mithili ya kunguni aliyefumaniwa! Hovyo kabisa chawa wewe mwenye cv!
Na yeye anataka kuongoza nchi, hatutaki mtu wa isibania huko, aende kwao kenya
 
Kila mtu analalamika hadi CDF- sasa ni Nani mwenye kuwafurusha hao wasio Watanzania … CDF Kashindwa kazi na majeshi yote? Aende na awanyake atutangazie ndio kazi yenyewe ya kulinda Tanzania na mipaka yake au labda hajitambui? CDF wanyake na uwa parade tuwaone
Si ndio hapo Sasa, CDF badala ya kuchukua hatua analeta mafumbo. Usishangae kaona hilo agizo la kwenye uchaguzi ndio la maana ili adhibiti wapinzani maana itamuhakikishia kupata ujumbe wa bodi akistaafu.
 
Kwahio wivu tu ndo husababisha chuki yote hiyo? Au watusi kweli ni tishio wana kitu cha ziada chenye kuleta tofauti baina yao na wabantu hasa kwa congo, ug burundi na tz?
Watusi sio tishio lolote tena hata waliweza kufukuza Waarabu wakamata Watumwa kutoka Zanzibar.

Leo hii ilitakiwa kuwashukuru Wafalme wa Kitutsi kwa kuzuia Raia wa Maziwa Makuu waliswagwe na kupelekwa kuuzwa huko Zanzibar.
 
Mimi nauliza, huyo mkimbizi kapewa uraia halafu ndiyo kapewa wadhifa? Au kapewa wadhifa bila kupewa uraia, akiwa mkimbizi tu?

Kwa sababu, kama kapewa uraia, kwa nini anabaguliwa kwa kuitwa mkimbizi wakati alishapewa uraia?

Na kama hajapewa uraia, inakuwaje apewe wadhifa bila ya kuwa raia?
Kwakweli ufafanuzi zaidiunatakiwa kutolewa na Wizara husika ya Mambo ya Ndani kuliko kuwaachia jawa Wanajeshi.
 
Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.

watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
Mwaka 2014 serikali ya Tanzania iliwapa uraia wakimbizi 200,000 . Wengi wao wakiwa wa kutoka Burundi.

Huo ni mkupuo wa mwaka mmoja tu, na wakimbizi wanapata uraia kila mwaka.

Hawa nao hawastahili kuongoza chochote Tanzania?

 
Kama huyu nae analalamika bila kuchukua ACTION , nani atatuokoa na hao wakimbizi?
 
hawabaguliwi bali watanzagiza wana inferiority complex kwa wanyrwanda, mfano ukienda hata hapo kenya watu hata hawana habari na sijui tusi hutu ni tanzagiza tu ndiyo watu wana inferiority complex kwa wanyarwanda, wanaume wa tanzagiza wote huota kwenda kuoa huko hilo peke yake linakwambia kila kitu, ukiwa na infereority complex utatawaliwa tu …
Hebu angalia hata kule South Afrika Xenophobia yao ni kwa Waafrika wenzao tena wanawaua kikatili sana lakini kuna raia kibao kutoka Bulgaria Poland Romania Latvia Ukraine wanaishi na kupiga kazi lakini huoni Mbantu akithubutu kwenda kuwavisha matairi ili awachome moto.

Ukienda Kongo Wazungu Wachina Waarabu Wabulushi Wahindi wanavuna mali lakini Mtutsi akionekana anapigwa kama Paka mwizi.😣
 
Naona Karia umekuja kujitetea. Haya twambie, chimbuko la babu Yako ni wapi?. Alisoma wapi shule ya msingi?
Wambulu walisomesha watoto, wazee wao enzi hizo hawakusoma hata darasa moja. Uliza Karia kasoma wapi achana na babu yake.
 
Back
Top Bottom