Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkimbizi ni Giggy Money mwenyewe katoka hapo Zanzibar ila ni raia wa Oman na hata hivi punde alienda kuwasalimu wajomba zake Oman akawagawia na Ngorongoro. Swali jingine ?
Gig money huyu hyu muhuni malaya aliyetoa video HV majus ya ngono au yupi
 
Wapo kibao tu
Jose Kabila
Mu7
Nyusi phili
Prime minister wa England (mwarabu)
Wapo kibao tu
Ni nyie tu wabongo ndo mna nongwa na wenzenu
Tokaa uko acha kijidanganya

Nyusi Ni mmakonde ila siyo mtazaniaa Tanzania hatuwezi kuweka pandikizi ktk serkali yoyote

Na mseveni n pure mtustsi Ni vile alikuja kusoma hapa tz chuo Cha ushirika
 
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Watu wote wanaoshukiwa Uraia wao Kwa kuwa Wana Asili ya Nchi jirani wanatakiwa kuthibitisha jinsi waliupata huo Uraia wa Tanzania kuanzia Naibu PM Hadi Watumishi wa Umma.
 
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂

Lakini nimejiapiza kufanyanya research deep halafu nije nifungue uzi maalumu.

Dunia ya leo Waafrika tunatakiwa tuungane ili tupambane na Maadui wa Waafrika.

Watutsi na Wahutu ni Watu muhimu sana kwenye Bara hili la Afrika.
Waafrika kuungana kwa maslahi ya waafrika,anza kumsomesha pk kwanza
 
Asnte mzalendo kwa kuwataja ili tuwe .makini wasije kuongoza nnchi siku moja
Acha waongoze kama wana sifa lzm watuongoze.
Imagine obama mkenya lkn ni moja kati ya maraisi bora marekani.
Tafuta sifa, nafasi zinakufata mwenye nguvu atatawala always regardless ya uraia
UK wanaongozwa na mhindi
Ukraine rais ni myahudi
Argentina rais ni myahudi

Uraia sio kigezo, kitu kibaya ni awe jasusi
Kama sio jasusi hakuna hatari yoyote kikubwa afanye kwa ufanisi
 
Mimi ni mtanzania halisi, vizazi na vizazi. lakini wakati mwingine ninaamini hii dunia sio ya mtu mmoja, ni ya wote, hata Tanzania sio ya kwako peke yako ni ya wote, ni wakoloni tu walitutenganisha hasa sisi waafrika. sasa mtu kama mkimbizi aliyekimbia Rwanda au Burundi miaka ya 60, amekuja hapa akiwa mtu mzima, amezaa watoto, na watoto wamezaa watoto. wamesoma hapa, wamekulia kila kitu hapa, hawajui kwengine kwa kwenda ila hapa, mnataka waende wapi? warudi Rwanda, Burundi au Congo ambako hawajawahi hata kufika na hata wakienda wanafikia hotelini? wangekuwa wanawajua ndugu zao huko labda, au kama wanazipenda hizo nchi labda, ila huko kwenye asili yao hawakujui, hawajawahi kwenda, wengine hata baba zao hawajawahi kwenda, mnataka wafanye nini? wamekua wakijua hapa ndio kwao hawana kwao kwengine wanakokujua, na wamepapenda.

watusi kwa mfano, walianza kukimbilia Tanzania hata kabla ya uhuru kwenye first Hutu Revolution ya mwaka 1952 ambapo wahutu wali rise up against tutsi ambao ndio walikuwa kabila la kifalme Rwanda, kwasababu hiyo watusi wengi sana walikimbilia congo (ndio wale banyamulenge), na wengi walikimbilia Tanzania. ukienda mikoa kama ya kigoma, Tabora, Mwanza hadi Rukwa, kuna watu wenye sura za kitusi kabisa ila babu zao walikuja hapa kabla ya uhuru wa Tanzania, na wameishi wakibaguliwa tangu miaka hiyo hadi leo. mnataka waende wapi? nchi yenyewe hii ya Tanzania mnaishi mnakufa na kuiacha hapahapa, mtu kama haleti madhara, mwacheni. Kina Obama hao mbona baba zao ni wakenya ila wamekuwa marais wa Marekani? mnachotakiwa kufanya ni kuweka vizuri mifumo ya intelijensia ili mtu awe na asili ya moja kwa moja ya hapa Tanzania au la, asilete madhara, kwasababu hakuna guarantee kwamba hao mnaowaona kama ni asili ya wakimbizi ndio wataidhuru nchi, kuna uwezekano threat kubwa ikatoka miongoni mwetu sisi wenyewe tunaojiita wazalendo. dunia hii mmeikuta na mtaiacha, hamjaiumba kwanza ni mali ya Mungu hapa ametuweka kama mifugo tu tuishi, achaeni ubinafsi na ubaguzi.
We urudi kwenu Rwanda, atutaki wakimbizi
 
Mimi nimejaribu sana kufuatilia sababu za chuki dhidi ya Watutsi wanachosema ni kuwa ati "wanaringa" 🤣😂

Lakini nimejiapiza kufanyanya research deep halafu nije nifungue uzi maalumu.

Dunia ya leo Waafrika tunatakiwa tuungane ili tupambane na Maadui wa Waafrika.

Watutsi na Wahutu ni Watu muhimu sana kwenye Bara hili la Afrika.

hawabaguliwi bali watanzagiza wana inferiority complex kwa wanyrwanda, mfano ukienda hata hapo kenya watu hata hawana habari na sijui tusi hutu ni tanzagiza tu ndiyo watu wana inferiority complex kwa wanyarwanda, wanaume wa tanzagiza wote huota kwenda kuoa huko hilo peke yake linakwambia kila kitu, ukiwa na infereority complex utatawaliwa tu …
 
Mkimbizi alichukua uraia wa Tanzania au kateuliwa akiwa Mkimbizi bila kuchukua uraia?

Maana mtu anaweza kuwa mkimbizi, akachukua uraia wa Tanzania. Tanzania imetoa uraia kwa malaki ya wakimbizi.

Mwaka 2014 Tanzania ilitangazwa kuwapa uraia wakimbizi 162,000 wa Burundi kwa mkupuo.

Idadi ya watu waliopeea uraia ilifikia 200,000, rekodi ambayo haijawahi kutokea mpaka muda huo kwa mujibu wa shirika la wakimbizi wa Umoja wa Mataifa UNHCR.

Huo mkupuo mmoja tu wa mwaka 2014 tumetoa uraia kwa wakimbizi 200,000.

Sasa wote hao wanyimwe nafasi za kuongoza hata kama wananuwezo kwa sababu wakipata uraia wakiwa wakimbizi?

 
Back
Top Bottom