jay-millions
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 3,983
- 10,034
Hivi kwanini watutsi hubaguliwa sana na wabantu wenzao? Shida huwaga nini?Hiyo Xenophobia,, Mtutsi ni Mtanzanani kama alivyo Makamu wa Raisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini watutsi hubaguliwa sana na wabantu wenzao? Shida huwaga nini?Hiyo Xenophobia,, Mtutsi ni Mtanzanani kama alivyo Makamu wa Raisi.
Wapo kibao tuKuna raia wa tanzania alipata uraisi nchi ya jirani huko
Kaka huku Simiyu wanyantuzu tunajuana, ukija generation tofauti tunakubaini faster shida Kama hizi zipo Geita, Kagera na huko kigomaHawa wanyarwanda Sasa inabidi kupitisha msako wa nyumba kwa nyumba huko Geita, mwanza , chato, bukoba, kigoma, simiyu,, hii phase ya kwanza
Hawa wanafanya serikalini?Bab level na mwijaku wale siyo wenzetu mmoja Ni mburundi na mmoja Ni mkongomani
WAPO WENGI SANA ILI MRADI UISHANGILIE CCMAsalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.
Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.
Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!
Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 2879699
Kwaiyo zito ni mkimbizi🤣waha mnawaonea vile[emoji28][emoji28][emoji28],mpaka wanateuliwa mlikua wapi?
Wajinga mpo wengi umeambiwa ni watumishi wa serikali kwani ulimwengu ni mtumishi?jenerali nae si mkimbizi?? sema kazeeka tu sasa hana madhara.
Wachane hawaWajinga mpo wengi umeambiwa ni watumishi wa serikali kwani ulimwengu ni mtumishi?
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mkimbizi ni Giggy Money mwenyewe katoka hapo Zanzibar ila ni raia wa Oman na hata hivi punde alienda kuwasalimu wajomba zake Oman akawagawia na Ngorongoro. Swali jingine ?Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi ?
Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.
Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.
Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!! Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa...www.jamiiforums.com
Pitieni huu uzi
Mie kuna mmoja namfahamu...hayupo serikalini ila yuko kwenye taasisi nyeti ya Elimu.....ni mkimbizi toka Burundi anaitwa Isidore Minani...yupo RUCO Iringa.....Sasa ndugu zake wapo Serikali kuu kwa majina tofautiKwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi ?
Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.
Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.
Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!! Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa...www.jamiiforums.com
Pitieni huu uzi
KIaje mkuu..nje ya africa nje ulaya na america??Hiyo nchi kwa taarifa yako inaongozwa kutokea nje siku nyingi na sio kuanzia kwa uongoz huu tu. Sisi ni nyuki wa mashine hatuna madhara.
Huyo baba yake ni wa awamu kabla ya yule jamaa wa mtwara.Huyo Hangaya mwenyewe si ni raia wa Oman au?