Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi

Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.

Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi ?

Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.

Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.





Pitieni huu uzi
Hivi usalama wa Taifa huwa hawahusishwi kwenye kumfahamu mteule wa Rais?

Kama wanahusishwa,je wako chini ya nani?
Mimi ninasikitika huenda kuna jambo haliko sawa hadi umsikie CDF akisema hadharani mambo mazito kiasi hicho!
 
Hivi usalama wa Taifa huwa hawahusishwi kwenye kumfahamu mteule wa Rais?

Kama wanahusishwa,je wako chini ya nani?
Mimi ninasikitika huenda kuna jambo haliko sawa hadi umsikie CDF akisema hadharani mambo mazito kiasi hicho!
Usalama wenyewe Ni wakimbizi na watusi ,wasomali ,warundi ,na wakongomani unategemea nin hapo
 
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Hapa ndiyo mtaelewa kwanini unasikia jamaa ni generali wa kundi fulani la waasi nchini Kongo halafu unakuta ghafla kapotea halafu akiibuka ni generali wa kikosi fulani nchi fulani.
Au ni generali wa kikosi fulani nchini Congo, ghafla anakuwa amehamia nchi fulani kujiunga na Jeshi la kulipwa au alikua nchi fulani mara anahamia kikosi fulani cha waasi kupigana vita ya kulipwa.
 
Hapa mdiyo mtaelewa kwanini unasikia jamaa mi gemerali wa kumdi fulani la waasi mchini Komgo halafu umakuta ghafla kapotea halafu akiibuka ni generali wa kikosi fulani mchi fulani. Au ni generali wa kikosi fulani mchini Congo, ghafla amakuwa amehamia nchi fulani kujiunga na Jeshi la kulipwa au alikua mchi filani mara anahimia kikosi fulani cha waasi kupigana bita ya kulipwa
Unamwongelea aliyetaka kumpindua Nkurunzinza Burundi nini? Godifroid Niyombale, akakimbilia Rwanda halafu juzi akajeruhiwa huko DRC!
 
Kama washakua raia ukimbizi wao hauna tija unless kama hawakuwahi kuwa naturalized.

From my understanding, ni Rais na VP tu ndo lazima wawe watanzania kwa kuzaliwa ila nafasi zingine zote so long as ni mtanzania hata by naturalization inakubalika.
 
Na sasa hawezi kumtoa. Yale yale ya Raisi Mwinyi na Mkuu wa Majeshi wa wakati ule, historia inajirudia. Nadhani hata wanajeshi wameanza kuona kero mambo yanavyofanyika, wala si ajabu. Imefikia hadi wanaonwa kuwa wazoa takataka!
Ilikuaje hiyo ya Mwinyi miaka hiyo, tupe kidogo
 
Kila mtu analalamika hadi CDF- sasa ni Nani mwenye kuwafurusha hao wasio Watanzania … CDF Kashindwa kazi na majeshi yote? Aende na awanyake atutangazie ndio kazi yenyewe ya kulinda Tanzania na mipaka yake au labda hajitambui? CDF wanyake na uwa parade tuwaone
 
Back
Top Bottom