Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wengi tu, wote wezi wa malj asilo za taifa na hawajali maslahi ya Taifa sio wa hapa, Fuatilia.
 
Hadi mwenye chama pia anahusishwa kuwa Ni muoman [emoji23][emoji23][emoji23]


Ila tuseme ukweli watanzania halisi kwa asili Ni wagogo tu

Ila pia wanasemaga malecela nae Ni mkongomani [emoji23][emoji23]
hizo ni kauli za wakimbiz kujilinda watu wasiamke
 
Ako Mungai wakati furani ako na uwaziri wa mambo ya elimu hakuwa mbongo alikuwa raia wa nchi jirani
Ilikuwa ikijulikana kabisa kama Mungai baba yake alikuwa na asili ya kenya alihamia Tanganyika miaka mingi iliyopita na nafikiri baada ya uhuru aliukana uraia wa kenya(kama bado alikuwa hai) ila mama yake ni Mtanganyika.
 
Back
Top Bottom