Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Mkuu, kwenye ofisi zetu za umma kuna watu wana roho mbaya hujapata kuona!Unakuta huko juu watu wana roho Mbaya sana...unajiuliza huyu ni MTanganyika?
Kuna jamii fulani wana damu kali sana.Kasi sana mbona wanasema mbona Naibu nae mmmm
Chai kavuLeo nimepigiwq simu na kada mmoja wa ccm anataka nimsaidie kurekebisha profile zake na cv zake then kaniambia
Usiogope taja kiasi unachotaka nikitoka kwenye kikao cha chama nakupigia usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa,huko juu kuna mijitu ina roho mbaya na unakuta haina uzalendo hata kidogoUnakuta huko juu watu wana roho Mbaya sana...unajiuliza huyu ni MTanganyika?
Bashiru ni mrundi mpaka sasa hiviBashiru kumbe alikuwa mhamiaji
Nadhani wahusika waliona Ni tishioNasikia ni issue iliyomtoa mwamba
Msomali mmoja Yuko mashambaniHapa itakuwa Kuna wasomali na warundi, ni wakati Sasa wa rais kuwatumbua, hata kama ni mikia
Ndio waliwapenyezea majinaSamia ina maana hana TISS?
Alichofanya CDF ni kumwambua Raisi Samia kistaarabu kwamba wewe sio raisi makini. Unauza nchi yetu kwa wageni. We are watching you!Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi
Wewe ni Naibu Mkuu wa nini?
Sahihi..Watanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi. Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao? Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.