Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilichojifunza baada ya kutembea nchi kadhaa hasa za watu wenye uelewa wa dunia, katika maisha unachotakiwa kujali ni namna gani unaingiza kipato chako na usalama wa familia yako na nchi yako tu, otherwise, unaweza kuishi popote na ukapaita nyumbani. ndio maana nashauri serikali iweke vizuri intelijensia yake ili kukamata waovu na wanaochunguza nchi, ila si kufukuza wageni. mgeni akiwa hapa kama hana matatizo, pesa yake ataspend hapa, though cha muhimu ajulikane yupo ili apewe masharti ya kuishi.
 
Hata mm naamini tz sio shida jamii yoyote kuwa hapo tatzo na tishio ni wale watu wa pua ndefu tu kutoka kigali
 
Mkunda jina la kinyamwezi,maana yake mburuzo uwe wa nyoka,mkia au chochote kile
 
Obviously itakuwa ni wasonjo ,maana unakuta baadhi ya maeneo sababu ya kuhonga fedha baadhi ya wakuu wa idara za serikali wanatunukiwa na nafasi za kioungozi katika ngazi za kijamii au vyama vya siasa more especially green party.
 
chief, hao wa Tabora, usije kuconnect dots na kamanda wa kinyamwezi. Tabora kama sikosei kuna wale wa Ulyakuru (nawakumbuka kwa kanda yao ya dini ya "katika viumbe vyote vilivyoumbwa binadamu kaumbika kuliko vyote"), hawa walijulikana kama wakimbizi na walikuja kabla hata ya ukoloni au soon after independence, more than 150k walipewaga uraia na sio wakimbizi kwasababu walizaliwa hapahapa na wamekulia hapa na wamezaa watoto walozaa wajukuu hapahapa.
 
Kuna wazee wengi walikujaga
Na wakafikia na walikaa sana kwenye kambi ya Nyarugusu wamezaa mitoto

Na watoto wamekulia hapo na wakatoka hapo wengine wafanyabiashara, wanasiasa nk

Ova

TZ lishakuwa shamba la bibi, kila mtu anajikatia pande.

Sasa sijui hiyo vetting wanaifanyia wapi?
Halafu, kambi ya wakimbizi si inakuwa na wawakilishi wa wizara ya mambo ya ndani ambaye ndiye mkuu wa kambi na wasaidizi wake, inakuwaje wanashindwa kudhibitiwa?
 
Wapo ambao wameoa na kuolewa na wamejipenyeza mpaka ndani kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yanki alikuja majuzi na Rais wa Ujerumani, yule jamaa ni waziri kule ila asili yake ni Tz , Uingereza kulikuwepo hadi waziri mkuu mponjolo kule America Obama aliongoza Taifa, huyo Mkimbizi ni nani? Wabongo waachage ubaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…