Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Tulia. Utafikiwa tu urudishwe kwenuWewe ni Nchi gani CDF anafanya kazi ya Home Affairs? Au na wewe umesha zezeteshwa?
Mkunda ni majina ya kichaga mkuuMkunda" jina lenyewe utata mtupu.
Huyo sio tishio sana wasomali, wakenya na wahutu sio tishio sana1. Kina...na,
Tutabanana hapa hapa Wizarani.Tulia. Utafikiwa tu urudishwe kwenu
Unadhani yanayotokea Congo Mashariki yalianzia wapi? Nyie sio watu wazuri na mnasumbua sana Congo
Hata mm naamini tz sio shida jamii yoyote kuwa hapo tatzo na tishio ni wale watu wa pua ndefu tu kutoka kigaliUkienda Musoma, wajaluo na wakurya, wengi tu wanmesoma hadi shule kenya, wana ndugu zao kenya na Tanzania, ila hawana shida. ukienda Mtwara, wamakonde na wayao wapo pande zote mbili za msumbiji na Tanzania, ukienda Mbeya kuna muingiliano mkubwa sana na wazambia na wamalawi,wameoleana mno, in fact wafanyabiashara wazuri wengi wa Lusaka kwa wale waliofika kule, ni wakinga na wanyakusa, na wanaongea kinyakyusa, kikinga na kiswahili hiki cha kwetu na likizo za mwaka huwa wanarudi na hawafanywi kitu kwasababu wanalipa kodi kule zambia. ukienda kwa ndugu zangu wachagga, na wameru, sio ajabu majina ya koo kuingiliana pande zote mbili, kama wameru ndio hadi kenya kuna eneo na kabila la wameru, ukienda Tanga ndio usiseme wanaingiliana na makabila, hivyo ukienda kigoma, bukoba na Rukwa, usishangae kuona kuna wanyarwanda, warundi na wacongo wengi tu ila ni watanzania. mikoa ya mipakani ni kawaida kuwa na watu wa nchi zote.shida nadhani ni PK na sio makabila ya nchi hizo, watu hawampendi PK, kitu ambacho hata mimi huwa simkubali kabisa kabisa kwa ukatili wake. asingekuwepo PK hao wote wangeishi bongo kwa amani tu na suala hili lisingejitokeza.
hata hivyo, serikali ina mkono mrefu, kama wapo wanaoishi hapa kiitellijensia hao hawana nia nzuri, serikali ikamate mmoja mmoja kimya kimya uone kama wote wenye nia mbaya hawajakimbia kimya kimya. wataambizana kwamba mwenzetu kakamatwa na watasepa, ila wale wema hawana haja ya kufukuzwa. wengine ni wake za watu na waume za watu wanaprovide kwa dada zenu hapahapa tz.
kwanini iwe Rwanda tu dadangu? kwanini isiwe nchi nyingine?hiyo ndio hoja.We urudi kwenu Rwanda, atutaki wakimbizi
Mkunda jina la kinyamwezi,maana yake mburuzo uwe wa nyoka,mkia au chochote kile
hao wengi sana wapo Tabora, Shinyanga, na Katavi. na wengine wana sura za kitusi, wanaongea kirundi, na wanaitwa watanzania wa kabila la kihutu. nilishangaa sana nilipofika kuile. ila ni watanzania na wana haki zote na hawajawahi kuleta madhara yeyote.
Wote HaoVP, Dotto Biteko, Bashite, Musukuma,Zitto Kabwe, Kigwangwala yaani list ni ndefu
Hicho cheo halipoHuyo mkuu wa Majeshi wa ulinzi na usalama siyo JWTZ tu
Nashangaa wanamsema sema, Msonga Gang wazushi, wazadiki sana.kwahiyo doto sio msukuma? ccm sasa si walimweka pale ili awakamate wasukuma masikio? acheni uzushi.
Kuna wazee wengi walikujaga
Na wakafikia na walikaa sana kwenye kambi ya Nyarugusu wamezaa mitoto
Na watoto wamekulia hapo na wakatoka hapo wengine wafanyabiashara, wanasiasa nk
Ova
Tishio gani?Hata mm naamini tz sio shida jamii yoyote kuwa hapo tatzo na tishio ni wale watu wa pua ndefu tu kutoka kigali
frankly speaking, ukiulizwa hapo leo watusi walikufanya nini, unaweza kukosa jibu. hii ndio ajabu. na wala usinifikirie vibaya, mimi ni kimaro.Hata mm naamini tz sio shida jamii yoyote kuwa hapo tatzo na tishio ni wale watu wa pua ndefu tu kutoka kigali
Kuna mtu alikuwa ni mfungwa akatumikia kifungo jela kikaisha eti na yeye leo ni Askari kwenye moja ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tena hivi vikubwa vikubwa . Aibu hii [emoji706]Majeshi yenyewe yamejaa Wahamiaji Haramu.
Dotto ni Mtusi wewe kuwa seriousLabda nyepesi,hao ulio wataja wengine ni og sukumaland
Kuna yanki alikuja majuzi na Rais wa Ujerumani, yule jamaa ni waziri kule ila asili yake ni Tz , Uingereza kulikuwepo hadi waziri mkuu mponjolo kule America Obama aliongoza Taifa, huyo Mkimbizi ni nani? Wabongo waachage ubaguzi