Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Marehemu ndio kapenyeza wote hao
 
Kuna mtu alikuwa ni mfungwa akatumikia kifungo jela kikaisha eti na yeye leo ni Askari kwenye moja ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tena hivi vikubwa vikubwa . Aibu hii [emoji706]
Tishio kubwa kwa Nchi hii ni CCM.
 
Tulitoa taarifa uhamiaji tena kwa viongozi wakubwa wenye dhamana ya uwwpo wa wahamiaji haramu na mahali walipo, wakatoa gari tukawapeleka kwenye hizo nyumba hakuna hatua yeyote walio chukua, tunahofia usalama wetu maana wale wahamiaji wameshatujua, mwingine alipigwa PI kipindi mwigulu akiwa waziri na Sasa yupo nchini tumetoa taarifa uhamiaji wakatucheka.

Kuna mengi yaaaani ........
 
Kuna yanki alikuja majuzi na Rais wa Ujerumani, yule jamaa ni waziri kule ila asili yake ni Tz , Uingereza kulikuwepo hadi waziri mkuu mponjolo kule America Obama aliongoza Taifa, huyo Mkimbizi ni nani? Wabongo waachage ubaguzi
Hata kama huyo mkimbizi kateuliwa na anafanya kazi yake vema kwanini asipewe uraia ili atamblike kisheria kama anatufaa? Kwanini mkimbizi abaguliwe? Mkimbizi sio mtu? Watoto wa lema waliokimbilia canada hawastahili teuzi kisa wamezaliwa bongo?
 
Kuna wazee wengi walikujaga
Na wakafikia na walikaa sana kwenye kambi ya Nyarugusu wamezaa mitoto

Na watoto wamekulia hapo na wakatoka hapo wengine wafanyabiashara, wanasiasa nk

Ova
NYARUGUSU ipi hiyo mkuu?
maana ninavyojuwa Bukoba kuna nyarugusu na mkoa wa Geita pia kuna kijiji kinaitwa nyarugusu.
 

huu ni mtego 2025 kuna mtu anatafutwa.
 
Ni wapi huko mkuu?

Unaweza kuelezea kwa urefu kidogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…