Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umenena vyema ila kiukweli hao Burundi, DRC na Rwanda wana roho mbaya. Hakuna nchi watakayoenda wasisumbuliwe. Hapo Zambia wananyanyasika sana wakati kuna watanzania wengi hata vibali hawana lakini wanaishi fresh bila usumbufu.
Hizo nchi ulizotaja utawazuwia vipi wasiingie Tanzania?

Au wapo kwa vizazi vingapi hivi sasa?

Kweli mzungu ni mashetani, aliyekuja kuweka hii mipaka ya kijinga kabisa. Kakaa berlin huko juu ya meza akajichorea tu. Tutabaguwana mpaka tuuwane, mipango ya Berlin ya kututawala.
 
Kwa mara yakl kwanza Mrembo Faiza nakubaliana na wewe. Labda kama Rais ameamua kulitumia jeshi kisiasa kuwatisha watu wanaompa changamoto kwenye nafasi yake. Vinginevyo ni upoyoyo wa kiwango Cha juu kabisa
Huwa namkubali sana FaizaFoxy lakini katika hili ameniangusha sana. Kimsingi Mtu kama CDF kuzungumza vile ni dhahiri yeye na Boss wake(Rais) + System wanajua wanachokifanya. Pia ninaamini taarifa inayosomwa kwa Rais huwa inafanyiwa clearance na hata mwenyewe kuipata kabla na sio kwamba pale ndio anaipata.

Hivyo na wewe jaribu kufikiri nje ya Box
 
Duuh hatari sana aangalie MaRC wapo na MaDC yule bwanaa kwao RC sehemu nina wasiwasi nae apitie hata yule mama ana title ya Balozi anaanziwa na herufi L na ukoo wake unaanzia na M. daah hapo kuna kazi kwa ufupi apitie upya teuzi zote zilizopita na alizoteua,pale BOT napo pale foreign currency, Pale Costech, Madini, pale kwenye mahela na bajeti Hongera CDF
 
Chama dhaifu huzalisha serikali dhaifu

Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app
 
We mgeni, Malengo , Sasa kama wako kwa malengo tofauti ndo mana tumewashtukia, ila wangekuwa wanaipambania nchi Wala tusingeshtuka
 
Jiwe nae hakuwa mtanzania
 
Usimsahau Nyerere na Mkapa, walishaandikwa sana zamani kuwa ni wageni ardhi hii.

Ukimaliza hapo, tuambie kwenu wapi?
Unajuwa Prof janabi babu yake alitokea Sudan, akaja akalikita dodoma,ndipo akazaliwa mohamed
Janabi refa wa zamani wa mpira tz
Ndipo akatokea Prof janabi
Tukisema hapa tanzania tuchunguzane umetoka wapi nchi hatobakia mtu

Ova
 
Hahahaah wazungu.ni mashetanj ulitaka tuwe taifa moja kma marekani siyo
 
Wewe sio mtz ,tunaweza kukutimua Sasa ivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…