Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aisee skuwahi kuusoma huu waraka wa Mtikili, ila leo ndo nimeuona na kuusoma wotee na kupitia baadhi ya comments.

Asee nmestuka kuona muasisi wa taifa nae ni mdau wa hyo tutsi empire, mambo ni mengi sana asee.

Si ajabu Mtikila alipotezwa na wenye maslahi.
 
Taja jina upo jf hapa
 
Kinana ni Msomali.
Huyu mzee ametwajwa mno kwenye Uzi huu itabidi tumlazimishe arudi kwao akapambane na magaidi wa kisomali

Ndio maana nimeambiwa familia yake pia amehiamishia Canada I'll siku akisanukiwa iwe rais kwenda uko kuliko kurud Somali land
 
Wewe unafikiri nan walio mpoteza
 
Usimsahau Nyerere na Mkapa, walishaandikwa sana zamani kuwa ni wageni ardhi hii.

Ukimaliza hapo, tuambie kwenu wapi?
Nyerere mimi sina hakika sana hivyo siwezi kumsemea,ila Mkapa yule ni M'meto wa Mozambique [emoji1174] aliingia Tanganyika akiwa na umri wa miaka 5,ilitakiwa akifikisha miaka 18 aukane uraia wa alikozaliwa na hakufanya hivyo. Hata yule Dhalim naye alikuwa mhutu. CDF ni mtu mzito na yuko welll informed hadi kusema vile kuna kitu kibaya amekiona.
 
Ni kiongozi mkuu wa chama ambacho wanaunda serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar,bado hujaona uzito wake tu.
Alfu huyo zito ndie aliyechochea sna kibu denic apewe uraia pacha dogo Ni mkongomani nusu na mbongo robo
 
Unajuwa Prof janabi babu yake alitokea Sudan, akaja akalikita dodoma,ndipo akazaliwa mohamed
Janabi refa wa zamani wa mpira tz
Ndipo akatokea Prof janabi
Tukisema hapa tanzania tuchunguzane umetoka wapi nchi hatobakia mtu

Ova
Ile kbsa Ni kopi ya sudani Bila kupepeza
 
Shida siyo utanzania Ni Kweli Ni mtanzani kwa asali ila tazama anavyo wapambania waingereza wenzake Ila sisi Huku unakuuta Ni mtutsi amejawa kiburi jeuri na wala hajali wantanzani Zaid San wanatuona wajinga Sasa hicho kitu hatutaki kbsaa

Kama Wana pamban kuleta maendeleo hyo Safi
 
CDF pale ilikuwa si pahala pake kubwabwaja namna ile. Angeweka mpaka.

Tunafahamunkuwa hali nintete bainabya Burundi na Congo na Rwanda, automatically na sisi inatuhusu.

Labda alikuwa anatowa tahadhari, watu wakianza kufichwa na kupotezwa raia wasistuke.
 
Tuchukulie kuwa potea potea itazidi hivi karibuni.

Siioni sababu nyingine ya kuwa muwazi namna ile, mpaka inatisha. mambo mazito sana yale kwa usalama wa Taifa.

Tusubiri tu poteapotea na fichaficha mpaka kieleweke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…