CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Ni kiongozi mkuu wa chama ambacho wanaunda serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar,bado hujaona uzito wake tu.Zitto kateuliwa nafasi gani ya maamuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kiongozi mkuu wa chama ambacho wanaunda serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar,bado hujaona uzito wake tu.Zitto kateuliwa nafasi gani ya maamuzi?
Aisee skuwahi kuusoma huu waraka wa Mtikili, ila leo ndo nimeuona na kuusoma wotee na kupitia baadhi ya comments.Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!! Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa...www.jamiiforums.com
Mkipata Muda pitieni huu waraka wa mtikila alionya Sana kuhusu watusi 35000 walizambaa kote nchini
Taja jina upo jf hapaDuuh hatari sana aangalie MaRC wapo na MaDC yule bwanaa kwao RC sehemu nina wasiwasi nae apitie hata yule mama ana title ya Balozi anaanziwa na herufi L na ukoo wake unaanzia na M. daah hapo kuna kazi kwa ufupi apitie upya teuzi zote zilizopita na alizoteua,pale BOT napo pale foreign currency, Pale Costech, Madini, pale kwenye mahela na bajeti Hongera CDF
Huyu mzee ametwajwa mno kwenye Uzi huu itabidi tumlazimishe arudi kwao akapambane na magaidi wa kisomaliKinana ni Msomali.
Wewe unafikiri nan walio mpotezaAisee skuwahi kuusoma huu waraka wa Mtikili, ila leo ndo nimeuona na kuusoma wotee na kupitia baadhi ya comments.
Asee nmestuka kuona muasisi wa taifa nae ni mdau wa hyo tutsi empire, mambo ni mengi sana asee.
Si ajabu Mtikila alipotezwa na wenye maslahi.
Sasa sijui anamuogopa Nani wkt kuna wadau wamewataja Hadi rais kuwa Ni mtu kutoka Oman Sasa mdc na marc kitu gani waleTaja jina upo jf hapa
One two, one two, this is how we do....Microphone test....!!!
Nyerere mimi sina hakika sana hivyo siwezi kumsemea,ila Mkapa yule ni M'meto wa Mozambique [emoji1174] aliingia Tanganyika akiwa na umri wa miaka 5,ilitakiwa akifikisha miaka 18 aukane uraia wa alikozaliwa na hakufanya hivyo. Hata yule Dhalim naye alikuwa mhutu. CDF ni mtu mzito na yuko welll informed hadi kusema vile kuna kitu kibaya amekiona.Usimsahau Nyerere na Mkapa, walishaandikwa sana zamani kuwa ni wageni ardhi hii.
Ukimaliza hapo, tuambie kwenu wapi?
Hahahahahahahba zito Ni moja kw moja Ni mrundi kwa asli ila Bab ake ni mkongomaniNi kiongozi mkuu wa chama ambacho wanaunda serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar,bado hujaona uzito wake tu.
Alfu huyo zito ndie aliyechochea sna kibu denic apewe uraia pacha dogo Ni mkongomani nusu na mbongo roboNi kiongozi mkuu wa chama ambacho wanaunda serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar,bado hujaona uzito wake tu.
Ile kbsa Ni kopi ya sudani Bila kupepezaUnajuwa Prof janabi babu yake alitokea Sudan, akaja akalikita dodoma,ndipo akazaliwa mohamed
Janabi refa wa zamani wa mpira tz
Ndipo akatokea Prof janabi
Tukisema hapa tanzania tuchunguzane umetoka wapi nchi hatobakia mtu
Ova
Anaitwa JOSEPH KASHEKU(jina rasmi),msukuma ni jina la utani tuMusukuma ni mtusi...hakuna jina la ukoo la musukuma kwenye koo za kisukuma
Shida siyo utanzania Ni Kweli Ni mtanzani kwa asali ila tazama anavyo wapambania waingereza wenzake Ila sisi Huku unakuuta Ni mtutsi amejawa kiburi jeuri na wala hajali wantanzani Zaid San wanatuona wajinga Sasa hicho kitu hatutaki kbsaaMimi naamini bigezo na masharti yamefatwa.
Ikiwa tutaanza kukokoa vizazi vya watu vya tatu na na nyuma vya Watanzania basi tutajikuta nusu nzima au zaidi siyo wenye asili ya Tanzania.
Mradi sheria na kanuni za uhamiaji zimefatwa na vetting za kiusalama wamepita hao ni raia tu.
Leo Rishi Sunak ni waziri mkuu w Uingereza, wakifatilia kizazi chake cha tatu nyuma, tutamkuta ana Utanzania.
usijali watatolewa kimyakimyaTaja jina upo jf hapa
CDF pale ilikuwa si pahala pake kubwabwaja namna ile. Angeweka mpaka.Nyerere mimi sina hakika sana hivyo siwezi kumsemea,ila Mkapa yule ni M'meto wa Mozambique [emoji1174] aliingia Tanganyika akiwa na umri wa miaka 5,ilitakiwa akifikisha miaka 18 aukane uraia wa alikozaliwa na hakufanya hivyo. Hata yule Dhalim naye alikuwa mhutu. CDF ni mtu mzito na yuko welll informed hadi kusema vile kuna kitu kibaya amekiona.
Alikuwa akilazimisha usukuma.
Tuchukulie kuwa potea potea itazidi hivi karibuni.Huwa namkubali sana FaizaFoxy lakini katika hili ameniangusha sana. Kimsingi Mtu kama CDF kuzungumza vile ni dhahiri yeye na Boss wake(Rais) + System wanajua wanachokifanya. Pia ninaamini taarifa inayosomwa kwa Rais huwa inafanyiwa clearance na hata mwenyewe kuipata kabla na sio kwamba pale ndio anaipata.
Hivyo na wewe jaribu kufikiri nje ya Box