Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Wakimbizi mbona wapo wengi mkuu? Bashe, Mpango, Nchimbi, et al.
 
Jeshi linakuwa halihusishwi kwenye michakato, na hata wakiwepo huwa ni washiriki tu, Ila wana utaratibu wao wa kufuatilia.

Hiyo taarifa ni matokeo ya kazi wanazofanya, na hapo CDF kapewa go ahead aisome hadharani kutoa alert call kwa kwa watu fulani kuwa wajiandae. Maana wameshabebwa lakini hawabebeki wanajiona wana maguvu mengi sana

Tume ya uchaguzi, Wakurugenzi na TISS wapo tayari kukata jina la mgombea kwa kisingizio cha herufi kukosewa lakini kamwe si kwa kuangalia jambo kubwa kama la Uraia.
Waanze na aliye wabeba km unavyosema kuwa wamebwa ila hawabebeki.
 
Yaani hawa umewapatia hasa
Ndugu nikikupeleka kwenye makaburi yetu hapo Ipogolo (Iringa) yanarudi mpaka 1890’s (na tarehe zipo) hapo ni mjini, ukija huku kijijini kwetu Nyabula nilipo ndio usiseme.

Tuache chuki hayo mambo hayana uhusiano wowote na robust national security measures. Kwanza majirani zetu hatujawahi kuwa na tension nao yoyote historically, alijaribu Amin akapewa dawa yake.
 
Wakimbizi mbona wapo wengi mkuu? Bashe, Mpango, Nchimbi, et al.
Tufanye mpango tuwaondoe.
Au CDF anasemaje?
Lengo lake la kutoa taarifa ni nini?
Au taarifa yake itapuuzwa kama ilivyopuuzwa ya CAG kuhusiana na ufisadi?
Anyway, twende tu japo tutafika tukiwa hoi
 
Watanzania tupo warahisi sana kuchezewa akili zenu. Lakini acha tu tuchezewe kwani huwa hatutaki kutafakari. Hivi jambo kama ni hili ni la utekelezaji au ni la kusemea kwenye majukwaa! Tuna idara za usalama, upelelezi na ulinzi. Kama wamegundua kuna watu wa aina hii kwa nini wasiondolewa kwanza? Rais kila siku ni lazima apewe briefing kuhusu masuala mbali mbali ya nchi, ina maana hawakumwambia huko kwenye vikao? Kwangu mimi hili ni suala la utekelezaji zaidi na siyo suala la kusemea jukwaani. Otherwise, kuna jambo fishy linataka kufanywa na huu ni mwanzo tu wa kulihalalisha.
Umenena
 
Hata namba moja aliyezikwa naye si alikuwa mkimbizi? Na wa kwanza, wa pili na wa tatu pia? Wa nne ni og ila six sijui
Huenda ili unalosema lina ukweli mkuu.
Ubaya wa kuongozwa na wageni ni pamoja na kutojaliwa.
Ona sasa maisha ni magumu na hakuna hata anayetoa neno la faraja zaidi ya kejeli tu ikiwemo kuambiwa tuhamie Burundi.
 
Asalaam aleykum wana Jf.
Leo Mkuu wa Majeshi, General Mkunda amegusia kuwa kuna baadhi ya wakimbizi wameshikilia nafasi nyeti serikalini kulingana na taarifa za kiintelijensia.
Sasa lengo la uzi huu ni kuwarahisishia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ili kuwabaini wakimbizi wote ambao wameteuliwa kwenye nafasi za maamuzi.

Hii itasaidia kudumisha ulinzi na usalama wa Taifa letu kwani ni hatari sana kukabidhi nafasi nyeti kwa wageni/wakimbizi kwa sababu kuna wale ambao hata kama wameishi miaka 1000 sehemu nyingine, huendelea kuwa wazalendo kwa Taifa lao la asili. Mfano hai ni Mh. PK, Rais wa nchi mojawapo jirani, ambaye ni kama tu alizaliwa na kukulia Uganda, lakini bado kilichotokea wote tunakifahamu.

Kwa wasiofahamu tu ni kwamba huyu Mh. PK alishikilia nafasi nyeti sana katika nchi ya Uganda ikiwemo Mkuu wa kitengo cha Intelijensia Jeshini, lakini bado tu roho yake na akili yake ilikuwa katika nchi yake ya asili!

Chonde chonde kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, siyo kwamba hawa watu hawajulikani, wanafahamika vyema ila kwa sababu ya rushwa na mambo mengine, basi kunakuwa na ile hali ya kufumbia macho.

Naomba kuwasilisha.

View attachment 2879699
Hoja Muhimu sana kwa wakati tulionao.

Kuwapa vyeo raia wenye asili ya kigeni siyo tatizo, tatizo unampa mtu mamlaka furani kisha anavujisha siri zetu kwenye mifumo ya usalama wa nchi aliyotokea.
Kwa mfano PK, namna alivyotumikia nafasi nyeti nchini Uganda, kisha unamkuta Rwanda akiwa na mamlaka mengine.
Hili halikubaliki, tulikatae.
 
Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi

Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.

Mimi najiuliza hivi Rais leo atapata usingizi Kweli? Atakuwa anajiuliza ni Nani huyu nimemteua ambae Ni mkimbizi?

Lazima Rais atapitia mafail yake kwa upya mnk kwa taarifa ya leo wa kamanda wake CDF kusema wasiwasi kuwa unawateua hadi wakimbizi inamaana kwamba wasaidizi wake wanamuingiza Chaka.

Anyway Kama Kuna kiongozi au afsa tunamuhisi siyo mtanzania mwenzetu Basi tumtaje hapa hajui kuwa siyo mwenzetu.

- Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Pitieni huu uzi
Mmezikumbuka nyuzi za Mchungaji Mtikira leo.
?
 
Back
Top Bottom