kama ni kweli, na sio "spinning inafanyika" Basi, huyu CDF, na Raisi wote ni vilaza, hili halikuwa swala LA kusema hadharani, una deal nao kimya kimya, hata matokeo huwa hayasemwi,
Mkuu wa majeshi na mkuu wa uteuzi, na wao wanalalamika! Seriously! Hii ni sawa na baba kwenye familia kusema, "najua binti yangu anabakwa, na wanaombaka wanaishi humu humu ndani! "
Ni uzwazwa wa Hari ya juu!
Au kama CCM imeamua kutumia jeshi, kufanya "spinning!" Unazua jambo,ili kuifsnya jamii iame kwenye Mambo ya msingi kuanza kujadili ishu unayoitaka,
CCM wanaweza wakapandikiza story"zuchu aachwa na Mond"au, Mond akamatwa kwa kutumia madawa ya kulevya"badala, ya kuonyesha jinsi jeshi lilivyojipanga kutatua matatizo ya ugaidi, uchumi, wamekaa na wao wanasubili uteuzi, kuongezewa salary, nk,
Sasa hv wanamega ardhi ya lugalo barracks, wanafanya flemu za biashara, baa za kuuza pombe, ,"kanisa katoric wamezindua chuo cha kisasa Mbeya, kwanini jwtz,wasijenge kiwanda cha Humvee, vifaru, spare za magsri,nk, kiwe kikubwa afrika nzima, kitoe ajira kama 200000!
Mnatengeneza vifaru, Silaa za, kivita, drones, au wajenge chuo cha kisasa cha sayansi na tekinolojia, kama NASA mnatoa kozi za uhandisi vijana wanaiva.
So pathetic