Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Pre GE2025 Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
dir kuna shida kwenye teuzi
Mns wanaoteuliwa hawachunguzwi kwanza kama zaman ama [emoji3531] [emoji3590] [emoji178] [emoji177] [emoji7] [emoji108] [emoji3531] [emoji3590] [emoji178] [emoji177] [emoji7] nikopalekwawakalaaanakuja
[emoji1787][emoji23]
 
Biteko ameyatimba sijui kama atasalimika,kashfa ya hekalu la Oysterbay halijaisha linaibuka hili la uhamiaji haramu.
Huyo Biteko ni miongoni mwa watu wa kutiliwa mashaka makubwa. Maana kila alipowekwa alijifanya mzalendo sana kwa maneno lakini matendo yake ni mabaya ya kutisha.

Amekuwa Waziri, anawanyang'anya maeneo Watanzania wanayomiliki kihalali na kisheria, halafu anawapa Wanyarwanda wenzake! Ina maana hawapendi Watanzania. Yupo kwaajili ya kuwanufaisha Wanyarwanda wenzake. Na sijui kama dhamira yake inaishia tu hapo kwenye kujinufaisha yeye binafsi na kuwanufaisha wenzake, au huenda kuna makubwa mabaya zaidi anayoyaandaa.

Marehemu Mengi (RIP) alitumia zaidi ya bilioni 15 kufanya utafiti wa dhahabu kwenye vitalu vyake kule Shinyanga. Mara baada ya kufariki, Biteko akaifuta leseni kihuni akampa mnyarwanda mwenzake Evarii anayemtumia kwenye huo uovu maeneo mbalimbali. Familia ya Mengi imehangaika bila mafanikio. Maana huo utajiri anaoupata, sehemu yake anawagawia TISS wa ikulu, hasa wale wanaofanya vetting.
 
Binafsi nimemshanga sna huyu cdf Ana Access ya kuonana na watawla ila eti kaamua kukaa kimya ili aje aonekane shujaa sijui aliwaza nni huyu jamaa ujumbe wake siyo mzuri kwa watawala lzm atafanyiwa kikao Kisha kumlazimisha astaafu
Hata akistaafishwa haina shida. Ametimiza wajibu wake wa msingi, wa uzalendo kwa nchi yake, siyo kwa watawala.

Watawala kama siyo wazalendo watamfanyia fitina, lakini kama ni wazalendo watazifanyia kazi taarifa alizozitoa.
 
Binafsi nimemshanga sna huyu cdf Ana Access ya kuonana na watawla ila eti kaamua kukaa kimya ili aje aonekane shujaa sijui aliwaza nni huyu jamaa ujumbe wake siyo mzuri kwa watawala lzm atafanyiwa kikao Kisha kumlazimisha astaafu
Ukiona hivyo kafikia hapo jua pengine Kuna watu wameweka pamba masikioni kaamua kulipuka Tena kikao kizito Cha magenerali wote wa Jeshi na mpaka kasema Ina maana Hilo jambo magenerali wote wako naye

Kama Kuna watu wameziba masikio na hawasikii ulitaka apindue nchi kijeshi labda?

Mpaka kasema hadharani hivyo ni kuwa Kafikia mwisho wa uvumilivu na magenerali wenzie

Ni vizuri viongozi wakishauriwa kitu na viongozi wa Jeshi wasikilize

Sababu kukitokea vita wanajeshi ndio hukesha macho viongozi wakiwa wamejifungia ndani wanakula chips kuku au kukimbilia nje wanajeshi wakimenyeka mitaani na misituni bila kupata usingizi

Alichosoma kama mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama sio jambo la kuchukulia kirahisi Kwa mtu mwenye akili timamu
 
Juzi kati nilienda Nairobi nimekuta Watanzania kibao wana ID Cards za Kenya kuna wengine ni watu wa Mbozi sikushangaa sana, nawajua Wakenya hawana UKUDA kama sisi Wanoko wa hapa Bongo.
 
Binafsi nimemshanga sna huyu cdf Ana Access ya kuonana na watawla ila eti kaamua kukaa kimya ili aje aonekane shujaa sijui aliwaza nni huyu jamaa ujumbe wake siyo mzuri kwa watawala lzm atafanyiwa kikao Kisha kumlazimisha astaafu
Sijawahi kuona cdf hovyo zaidi ya huyo. Huyo sasa mimi nimekuwa na mashaka nae makubwa sana.
 
Hili inashangza na kufikirisha Sana inakuwaje Hadi mkuu wa majeshi anawajua wakimbizi na wameteuliwa na wala hajawasiliana na mamlaka za uteuzi kuzuia uteuzi wao yeye amekaa kimya Hadi leo ndio Kuja kumueleza Rais by suprise.
Inawezekana aliwaambia wakakauka sasa ameamua kuwaambia in public ili taifa lijue uzembe wa majeshi yetu
 
Mimi naamini vigezovimezingatiwa na masharti yamefatwa.

Ikiwa tutaanza kukokoa vizazi vya watu vya tatu na na nyuma vya Watanzania basi tutajikuta nusu nzima au zaidi siyo wenye asili ya Tanzania.


Mradi sheria na kanuni za uhamiaji zimefatwa na vetting za kiusalama wamepita hao ni raia tu.

Leo Rishi Sunak ni waziri mkuu w Uingereza, wakifatilia kizazi chake cha tatu nyuma, tutamkuta ana Utanzania.
 
Inawezekana aliwaambia wakakauka sasa ameamua kuwaambia in public ili taifa lijue uzembe wa majeshi yetu
Hakuna kitu kama hicho.

Huyo hakujuwa mipaka yake ya kuongea, au ana lake moyoni. Kwaoi wapi huyu CDF?
 
Itabidisheria m[pya zitungwe? Maana kwa sheria za sasa za Tanzania itabidi nusu au zaidi ya Watanzania waondoke.


Mimi Mtanganyiika, nirudisheni Tanganyika. Sijawahi kuuomba Utanzania wala kuukana Utanganyika wangu na sijawahi kuupinga utawala wa Muingereza. Nirudisheni kwetu Uingereza. Nimezaliwa wakati wa Utawala wa Muingereza.
 
Benjamin Mkapa alikua siyo Mtanzania, alikua mtu wa Msumbiji lakin akaja kwenye Siasa mpaka akawa Raisi.

Kwaiyo Mimi sioni ajabu kigumu Usalama wa Taifa wawe makini sana kwenye Kufuatilia.
 
Back
Top Bottom