Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Kuna ushahidi wamekamatwa??Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zike picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Kama una account X unaweza kufuatilia mmoja baada ya mwengineKuna ushahidi wamekamatwa??
Huwezi kujua 'Motives' zilizowasukuma hadi kuamua kufanya tukio hilo.Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Subiri waanze kufinywa watasema.Huwezi kujua 'Motives' zilizowasukuma hadi kuamua kufanya tukio hilo.
Hawawezi kuisha ila samples zikiwepo zitachora ramani zote.Bado wataendelea kuibuka magaidi wengine na kufanya mauaji
Hawawezi kufufuka.halafu mwishowe itakuwaje? waliokufa watafufuka?
Siku hizi hawahangaiki sana..kuna sindano flan zinakua kama kumi hivi, zinakufanya unaskia maumivu makali ya mwili ndani kwa ndani,,,na sindano znavoyoongezeka ndio maumivu makubwa makali zaidi, ukigoma ndio ivyo unakufa mdogo mdogoHawa wata hakikisha wanashiba vizuri halafu kazi itaanza mmoja baada ya mwengine kazi wanayo pole yao.
Jaribu kuwa na account X siku hizi ndio mpango mzima wa kupata current za moto moto. Wamekamatwa watu 11 mpaka sasa wa 4 kati yao walishiriki tukio la jana usiku na wamekamatwa wakiwa wanaelekea mpakani na Ukraine walipojaribu kukimbilia msituni baada ya gari kuanguka.Kuna ushahidi wamekamatwa??
Swali la kipumbavu kabisa hilihalafu mwishowe itakuwaje? waliokufa watafufuka?
Mkuu hawajakamatwa, urusi haina uwezo wakuwakamata labda wangeuka MOSAD au CIA.😅Kuna ushahidi wamekamatwa??
NimewaonaJaribu kuwa na account X siku hizi ndio mpango mzima wa kupata current za moto moto. Wamekamatwa watu 11 mpaka sasa wa 4 kati yao walishiriki tukio la jana usiku na wamekamatwa wakiwa wanaelekea mpakani na Ukraine walipojaribu kukimbilia msituni baada ya gari kuanguka.
Kule x zipo hadi clip videoMkuu hawajakamatwa, urusi haina uwezo wakuwakamata labda wangeuka MOSAD au CIA.😅
Wafanye tu watakamatwa tu piaBado wataendelea kuibuka magaidi wengine na kufanya mauaji
Kuna huyo mmoja anahojiwa anatetemeka hata kumminya hawajaanza tayari hofu debe.Nimeona video zao huko X nikasema bora wangejiua .sijui walikuwa wanawaza nini kwamba watafanikiwa kutoroka bila kukamatwa.