Hawa walioshambulia Russia ni wakuonewa huruma.

Hawa walioshambulia Russia ni wakuonewa huruma.

Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.

Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.

Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.

Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.

Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.

Nawapa pole sana.
Wamejarbu,japo haijatokea ghafla!
 
Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.

Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.

Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.

Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.

Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.

Nawapa pole sana.
hujui lolote
 
Hadi saiz wameua watu 115, ubao unasoma magaidi 115, warusi 0.
Nadhani hadi hapo umejui nani kagusa sehemu isiyo sahihi na nani ni katili.
Subiri muda utaamua ila wamekanyaga sehemu isiyo sahihi.
 
Hao magaidi watajuta kuzaliwa, navyojua Russia Spetsnaz GRU Special forces Commando watawafanyia unyama usioelezeka na kuwachinja chinja na watakufa vifo katili na vikali sana mfano kuunguzwa kwa acid Pure Conc, unakufa huku unajiona, watajuta na uhakika huo.
 
Watu wenyewe ni magaidi utawatisha nini!!, au unafikiri mtu kuitwa gaidi ni jina la ubatizo! 😃😃, Gaidi ni shetani mtupu, hatishwi na Hana Cha kupoteza.
Sawa.

Gaidi naye mtu ndio maana kakamatwa mmoja wao anahojiwa na askari tu wa kawaida anatetemeka mwili mzima hapo hajakutana na wazee wenyewe wa kazi.

Omba usiingie mikononi mwa polisi wa upelelezi, wasio julikana au usalama utasema tu.
 
Back
Top Bottom