Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mkeo akiliwa nje na ukijua, utafanya je.?halafu mwishowe itakuwaje? waliokufa watafufuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkeo akiliwa nje na ukijua, utafanya je.?halafu mwishowe itakuwaje? waliokufa watafufuka?
Wamejarbu,japo haijatokea ghafla!Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Utakuwa mjamzito subir kujifunguaMkuu hawajakamatwa, urusi haina uwezo wakuwakamata labda wangeuka MOSAD au CIA.😅
Russia ni makatili waleAise!! Yaani jamaa nyuma na mbele hapajulikani🤣🤣
hujui loloteNi vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Hawzidi magaidiRussia ni makatili wale
Hao magaidi wamegusa sehemu isiyo sahihiHawzidi magaidi
Hadi saiz wameua watu 115, ubao unasoma magaidi 115, warusi 0.Hao magaidi wamegusa sehemu isiyo sahihi
Subiri muda utaamua ila wamekanyaga sehemu isiyo sahihi.Hadi saiz wameua watu 115, ubao unasoma magaidi 115, warusi 0.
Nadhani hadi hapo umejui nani kagusa sehemu isiyo sahihi na nani ni katili.
Kwa mfano, ukifinywa halafu hautaji inakuwaje? Mana kama ukitaja watakuua, na usipotaja watakuua! Kipi bora, kutaja au kutotaja?Hawa watafinywa mpaka wataje kizazi chake chote.
Unafanyiwa mpaka utaongea tu.
haha wanaonekana tu warugaruga hawana uelewa na masuala ya dunia. Shule muhimu sana.Hizi sura ukiziangalia vizur wanaonekana wametolewa ndani ndani huko ambako pengine hata internet haifiki wakachorewa ramani ya tukio wakatupwa site na kwakuwa hawana exposure wakahisi Moscow ni kama Umbuji.
Watu wenyewe ni magaidi utawatisha nini!!, au unafikiri mtu kuitwa gaidi ni jina la ubatizo! 😃😃, Gaidi ni shetani mtupu, hatishwi na Hana Cha kupoteza.Subiri muda utaamua ila wamekanyaga sehemu isiyo sahihi.
Umewahi pita hata JKT ? Au umewahi kamatwa na polisi wa upelelezi ? Au wasiojulikana ? Au umewahi pitia masimulizi ya mdude ?Kwa mfano, ukifinywa halafu hautaji inakuwaje? Mana kama ukitaja watakuua, na usipotaja watakuua! Kipi bora, kutaja au kutotaja?
Sawa.Watu wenyewe ni magaidi utawatisha nini!!, au unafikiri mtu kuitwa gaidi ni jina la ubatizo! 😃😃, Gaidi ni shetani mtupu, hatishwi na Hana Cha kupoteza.
Waliahidiwa pesa,wamekiri wenyewe😃Huwezi kujua 'Motives' zilizowasukuma hadi kuamua kufanya tukio hilo.
Wale mbwa wanaroho mbaya balaa😃Subiri waanze kufinywa watasema.
Aiseeh! Ni bora ufe kuliko kuingia mikononi mwa watesaji majitu yenye roho mbaya.
Kama unajifanya bubu utaongea kila kitu.