Hawa walioshambulia Russia ni wakuonewa huruma.

Hawa walioshambulia Russia ni wakuonewa huruma.

Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.

Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.

Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.

Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.

Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.

Nawapa pole sana.
tunategemea kusikia jumuiya ya waislam wakiandamana kupinga shambulio dhidi ya Urusi ambaye amekuwa akiwatetea sana. Hamas pia tunategemea waandamane kupinga shambulio. wapalestina pia tunategemea waandamane kupinga shambulio. kwasababu nchi nyingi za kikristo zimeandamana sana kupinga kinachoendelea gaza.

hapo ndipo tutaijua rangi yao halisi ni ipi. ama la tusijisumbue hata kusubiri icho kwasababu jibu tayari tunalo.
 
Bado wataendelea kuibuka magaidi wengine na kufanya mauaji
hakuna mative inayoweza kujustfy kwenda kupiga risas watu wanaoruka kwanja una ugomvi na serikali karipue miundo mbinu yao ikulu kambi za jeshi bunge sasa wale walevi wenyewe ukute hata putin mwenyewe hawampendi wala yeye hawapendi
 
Back
Top Bottom