Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeziona sema mkuu Yoda anachuki kubwa Sana na Putin ndio maana namcheka.Kule x zipo hadi clip video
ni warusi kwa warusi wanajuanaNi vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Siyo warusi ni raia kutoka TajikistanWa
ni warusi kwa warusi wanajuana
Kufa hawafi ila cha moto watakionawafinywe mfinyo wa maana.
Yes, kuchezea Rusia au Israel ni kifo. Bora ukachezee nchi za NATO wao wana kufunga kifungo cha maisha huku unakula chakula kizuri.Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Sahihi kabisa Israel au Russia ni bora ujiue wasikunase hao jamaa ni makatili balaa.Yes, kuchezea Rusia au Israel ni kifo. Bora ukachezee nchi za NATO wao wana kufunga kifungo cha maisha huku unakula chakula kizuri.
Wangeuliza hata wale wa Azov kilicho wakuta halafu wangepima kina cha maji.Warusi dadeq hawa watachunwa ngozi ngoja uone ,uzuri lazima wataje mtandao .
Warusi wana roho mbaya hakuna.
Aise!! Yaani jamaa nyuma na mbele hapajulikani🤣🤣
Hata hao walioshambulia urusi wana roho ngumu vile vileNi vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Mmoja ameeleza kuwa alilipwa .. Na watu waliomfuata telegramHuwezi kujua 'Motives' zilizowasukuma hadi kuamua kufanya tukio hilo.
Kuna kitu kinaitwa Enhanced Interrogation. Hata CIA wanatumia.Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Hizi sura ukiziangalia vizur wanaonekana wametolewa ndani ndani huko ambako pengine hata internet haifiki wakachorewa ramani ya tukio wakatupwa site na kwakuwa hawana exposure wakahisi Moscow ni kama Umbuji.
Uchunguzi wa awali kwa mujibu wa FSB wale magaidi walikuwa na contact person kutokea Ukraine, Ukraine na US ambaye mzee wa kudandia wamepinga.Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.