Sahihi kabisa Israel au Russia ni bora ujiue wasikunase hao jamaa ni makatili balaa.
Hawa wataenda kuimbishwa kwaya katika chamber za kirusi muda sio mrefu watataja ramani yote.
😂😂😂🤣🤣🤣🤣Hao jamaa ni maiti zinazo pumua.
:
Muulize km amewai ng''olewa kucha au jino kwa praizi😃Umewahi pita hata JKT ? Au umewahi kamatwa na polisi wa upelelezi ? Au wasiojulikana ? Au umewahi pitia masimulizi ya mdude ?
Wewe unaonaje mkuu?Kwa mfano, ukifinywa halafu hautaji inakuwaje? Mana kama ukitaja watakuua, na usipotaja watakuua! Kipi bora, kutaja au kutotaja?
Sehemu sahihi ni wapi ambapo wangegusa?Hao magaidi wamegusa sehemu isiyo sahihi
Kuna majitu hayafai dunia hii hata hapa Bongo yapo ukipitia kidogo masimulizi ya mdude ndio utajua kwa uchache kuwa kuna watu wana roho mbaya kupitiliza.Wale mbwa wanaroho mbaya balaa😃
Mtu mzima unalia kama mtoto anae nyonyaSipati picha chemba ya mahojiano itakuaje😂
Wanafikiri haya mambo ni mepesi mepesi kwamba wataenda kuwapa uji wa elezi kule😃Muulize km amewai ng''olewa kucha au jino kwa praizi😃
Labda Vatican tu makardinali wangewasamehe kama alivyofanya John Paul II lakini serikali hizi za kidunia nyingine utaimba kwaya sauti zote.Sehemu sahihi ni wapi ambapo wangegusa?
Walio kamatwa ni washukuwa na hayo mahojiano ndo upelelezi wa kupata magaidi halisi.Sawa.
Gaidi naye mtu ndio maana kakamatwa mmoja wao anahojiwa na askari tu wa kawaida anatetemeka mwili mzima hapo hajakutana na wazee wenyewe wa kazi.
Omba usiingie mikononi mwa polisi wa upelelezi, wasio julikana au usalama utasema tu.
Kazi ishaanza👇 watu wanaondoka na masikioWangeuliza hata wale wa Azov kilicho wakuta halafu wangepima kina cha maji.
ni kama vile unatengeneza madege ya kivita unapita mita 20000 angani huku unatupa mabomu kuua watu kwanini usishuke ardhini?Unaua wenzako halafu na wewe unaogopa kufa eti unakimbia..
acha porojo za kitoto we kijibwa Cha urusiHao magaidi wamegusa sehemu isiyo sahihi
Watajuta kuifuata ile ahadi ya kum.a 72Ni vyema hawa walioshambulia Russia wangejiripua au kujiua kwa namna yoyote ile.
Ila kukamatwa kwao ni wa kuwaonea huruma zaidi.
Aisee warusi wana roho za kikatili nikifikiri yanayo enda kuwakuta.
Hawa watu watafinywa katika namna ya ajabu.
Natumahi wengi wetu mliona zile picha za wafungwa wa Azov na hao ni mateka wa vita sasa imagine hawa walioshambulia raia katika uwanja usio wa kivita.
Nawapa pole sana.
Ukiua kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga.
Imefika zaidi ya watu 130 waliouawa na magaidiHadi saiz wameua watu 115, ubao unasoma magaidi 115, warusi 0.
Nadhani hadi hapo umejui nani kagusa sehemu isiyo sahihi na nani ni katili.
Afu Kuna warusi wa ikwiriri wanasema wao ni katili kuliko magaidi😀😀Imefika zaidi ya watu 130 waliouawa na magaidi