Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAWA MIMI KILAZA,,,,ILA WEWE NI MNAFIKI WA HISTORIA NA UNA CHUKI ZA KIDINI...Wewe ni kilaza huelewi yanayoendelea kule. Yaliyotokea Oktoba ni mwendelezo wa miaka 75 ya mateso makubwa ya wanachi wa Palestina. Rejea hotuba ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Gutierez kuhusu huu mgogoro uliolipuka hivi karibuni.
Hivi Israel ina maendeleo kuliko Qatar, Dubai, Saudi Arabia na hata Iran? Bila msaada wa kiuchumi na kisilaha kutoka Marekani na washirika wake Israel si lolote. Wana muziki gani hao Wayahudi wakati Gaza kitongoji kidogo tu kama Manzese miezi mitatu sasa wameshindwa kuwakamata viongozi wa HAMAS na wameshindwa kukomboa mateka hata mmoja!Waarabu wanaujua mziki wa wayahudi ndio maana wanawaogopa....
Na wanawaonea wivu maendeleo yao ya kiuchumi na kimiundo mbinu.... hasa maswala ya kujenga mji
Hapo crimea ,,,mrusi kawanyosha kweli wale wenye asili za uturuki na chechenMungu alikuwa na kusudi kubwa sana kwamba USA ndio awe super power wa dunia!
Imagine miislamu ndio ingekuwa supa pawa kama USA?
Tungokoma walahi
Waache wakaipate freshWaarabu wanaujua mziki wa wayahudi ndio maana wanawaogopa....
Na wanawaonea wivu maendeleo yao ya kiuchumi na kimiundo mbinu.... hasa maswala ya kujenga mji
Mkuu kwa ukubwa wa eneo za mraba Israel ina maendeleo kuliko asilimia 75 ya nchi za waarabu......Hivi Israel ina maendeleo kuliko Qatar, Dubai, Saudi Arabia na hata Iran? Bila msaada wa kiuchumi na kisilaha kutoka Marekani na washirika wake Israel si lolote. Wana muziki gani hao Wayahudi wakati Gaza kitongoji kidogo tu kama Manzese miezi mitatu sasa wameshindwa kuwakamata viongozi wa HAMAS na wameshindwa kukomboa mateka hata mmoja!
Tatizo la waislamu mlitaka IDF wapigane mnavyotaka nyinyi mkiwa mnapiga story miskitini...UNAONA ULIVYO NA UKOSEFU WA AKILI NA UJINGA KWA UKUBWA WA GAZA KUUFANANISHA NA MANZESE 🤣🤣😂😂Hivi Israel ina maendeleo kuliko Qatar, Dubai, Saudi Arabia na hata Iran? Bila msaada wa kiuchumi na kisilaha kutoka Marekani na washirika wake Israel si lolote. Wana muziki gani hao Wayahudi wakati Gaza kitongoji kidogo tu kama Manzese miezi mitatu sasa wameshindwa kuwakamata viongozi wa HAMAS na wameshindwa kukomboa mateka hata mmoja!
Unazidi kudhihirisha ukilaza wako hapa. Waajemi gani waliwatoa Wayahudi kwenye ardhi zao? Kila mahali walipoishi Wayahudi walichukiwa na wenyeji kutokana na tabia zao za kudhulumu na kunyanyasa watu huku wakishiriki kwenye miamala ya riba. Dunia nzima yote walichukiwa kwa udhalimu wao. Ulaya yote kulikuwa na persecution against Jews jiulize kwanini ilhali Ulaya yote ni Wakristo? Hitler hakuwa Muislam nenda kasome kitabu chake Main Kempf ufahamu anavyowazungumzia Wayahudi. Nyie vilaza huku ndio mnawaunga mkono mkidhani ni wenzenu ilhali wale ndio walimsulubu Yesu na kumkana. Hakuna Yahudi aliye Mkristo tambua hilo.SAWA MIMI KILAZA,,,,ILA WEWE NI MNAFIKI WA HISTORIA NA UNA CHUKI ZA KIDINI...
JE MIAKA 3000 YA WAYAHUDI KUTOLEWA KATIKA ARDHI ZA MABABU ZAO NA WAAJEMI NA WARUMI NA WAARABU NA WATURUKI HUYO KATIBU MKUU KAZUNGUMZIA????
Wewe ni kilaza kuendelea kukujibu ni kupoteza muda. Kajibizane na vilaza wenzako.Tatizo la waislamu mlitaka IDF wapigane mnavyotaka nyinyi mkiwa mnapiga story miskitini...UNAONA ULIVYO NA UKOSEFU WA AKILI NA UJINGA KWA UKUBWA WA GAZA KUUFANANISHA NA MANZESE 🤣🤣😂😂
Hilo haliwezekani na wanaendelea kutoa dozi wanavyotaka wao pale Gaza.......
TATIZO HUJUI HISTORIA NA HATA WAAJEMI NA WAARABU NA WATURUKI NA WARUMI WATAKUSHANGAA...Unazidi kudhihirisha ukilaza wako hapa. Waajemi gani waliwatoa Wayahudi kwenye ardhi zao? Kila mahali walipoishi Wayahudi walichukiwa na wenyeji kutokana na tabia zao za kudhulumu na kunyanyasa watu huku wakishiriki kwenye miamala ya riba. Dunia nzima yote walichukiwa kwa udhalimu wao. Ulaya yote kulikuwa na persecution against Jews jiulize kwanini ilhali Ulaya yote ni Wakristo? Hitler hakuwa Muislam nenda kasome kitabu chake Main Kempf ufahamu anavyowazungumzia Wayahudi. Nyie vilaza huku ndio mnawaunga mkono mkidhani ni wenzenu ilhali wale ndio walimsulubu Yesu na kumkana. Hakuna Yahudi aliye Mkristo tambua hilo.
Mungu ana mambo mengi makubwa na yanayotisha, hawezi kuitikia wito wako mwepesi kiasi hicho.Yoote haya Chanzo chake ni Siasa, Madaraka, uongozi, fedha na Starehe.
Mnasema kweli Mungu yupo?
Mimi ni Mkristo lakini inabidi nianza kufikiria Upya hii Doctrine ya Uungu wake.
Matukio yanayoendelea Duniani na watu wanaojifanya wana Dini ni Ushahidi Kabisa kuwa Duniani hakuna Uwepo wala Udhibiti q Nguvu za Mungu.
Ama Mungu ametutupa Mkono kutokana na Dhambi zetu au Mungu anayedhaniwa Yupo basi ni Bosheni tu.
Sio Kufuru lakini najaribu Kutaka kuona Nguvu za Mungu.
Na Mungu aliyehai Aonekane.
Ifike Mahali Mungu tumwambie Ukweli kama Yeye ni Yehova basi tunamtaka aonekane kwa watu wake.
Huo Ukatiri hata Shetani hawezi fanya hadharani.
WEWE NDIO KILAZA UMESHINDWA KUTUDANGANYA WASOMI...Wewe ni kilaza kuendelea kukujibu ni kupoteza muda. Kajibizane na vilaza wenzako.
UNALETA STORY ZA KUTUNGA ZA MUHAMMAD NA MUNGU WAKE WA KIARABU.....Unazidi kudhihirisha ukilaza wako hapa. Waajemi gani waliwatoa Wayahudi kwenye ardhi zao? Kila mahali walipoishi Wayahudi walichukiwa na wenyeji kutokana na tabia zao za kudhulumu na kunyanyasa watu huku wakishiriki kwenye miamala ya riba. Dunia nzima yote walichukiwa kwa udhalimu wao. Ulaya yote kulikuwa na persecution against Jews jiulize kwanini ilhali Ulaya yote ni Wakristo? Hitler hakuwa Muislam nenda kasome kitabu chake Main Kempf ufahamu anavyowazungumzia Wayahudi. Nyie vilaza huku ndio mnawaunga mkono mkidhani ni wenzenu ilhali wale ndio walimsulubu Yesu na kumkana. Hakuna Yahudi aliye Mkristo tambua hilo.
Nyayo houseMatukio kama haya mbona ni ya kawaida sana, hususani kwenye hizi nchi zetu za ki-Afrika ambako kuna tawala nyingi za kiimla na zisizostaarabika. Nilipokuwa kwenye nchi fulani ktk mihangaiko ya maisha, nilibahatika kukutana na Mwanajeshi Mmoja Mstaafu wa iliyokuwa nchi ya Zaire (sasa Congo DRC), anaishi Uhamishoni ktk nchi hiyo ya kigeni tangu mwaka 1998 baada ya Rais Mobutu Seseseko kupinduliwa. Mwanajeshi huyo alikuwa miongoni mwa top levels kwenye Kikosi Maalumu cha Ulinzi wa Viongozi wa Juu wa Serikali enzi hizo. Alinihadithia baadhi ya matukio yaliyofanyika ktk nyakati za Utawala wa Rais Mobutu, hasa hasa kipindi cha mwisho kabisa kabla Serikali ya Mobutu kupinduliwa, matukio ya kutisha sana. Watu kila siku walikuwa wanaletwa nyumbani kwa Rais kijijini kwake Gbadolite usiku na mchana. Ndege na helikopta za jeshi zilikuwa hazikauki kuwaleta nyumbani kwa Rais watu ( Wapinzani wa Utawala wa Mobutu) ili kwenda kuuawa.Watu (raia na wanajeshi waliohisiwa kuwa ni waasi ) walikuwa wanakusanywa kutoka pande zote za nchi na kupelekwa Gbadolite, Makazi ya Rais yaligeuzwa kuwa ni sehemu ya Kunyongea watu, ikiwamo na Viongozi wa ngazi za juu kabisa Serikalini ambao Mobutu aliwahisi kwamba wanamsaliti nao pia walinyongwa, yeye aliponea chupuchupu kuuawa, alitoroka Ikulu siku moja baadaye mara tu Mobutu alipomnyonga Mkuu wake wa Majeshi Jenerali Mahele. Alinihadithia habari za kutisha sana, huwezi kuamini kwamba mambo hayo aliyoeleza yanaweza kufanyika hapa duniani. Ni hatari sana.
Ndio nini?Nyayo house
Kazi ya Jeshi haina makosa??Kazi ya jeshi haina makosa
Sijui hii video imeingiaje kwenye simu yangu! Sikumbuki kama nimeshawahi kupakua video kama hiyo.
Hao wanajeshi ni wa nchi gani? Mbona wamekubuhi kwa ukatili?
TAHADHARI: Video hapo chini ina matukio ya kutisha. Usiiangalie kama huna ustahimilivu wa kutazama matukio ya kutisha.
Wahutu Wana roho mbayaMbona Wahutu chini ya Vikosi vya INTERAHAMWE walifanya zaidi ya hayo unyama hauna mwenyewe.
Sio Wahutu wote kuna Wahutu waliowasalimisha ndugu zao Watutsi wakati wa Mauaji yaliyokuwa yakifanywa na INTERAHAMWE chini ya amri ya Serikali na kwa msaada wa Majeshi.