Samahani sana mkuu, naomba kuulizaKwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
View attachment 2834898
Haya tuambie hilo tope hapo ingetumia njia gani?Hapakua na haja ya kutumia njia hiyo, palikua na possibly nyingine ya kuondoa hio gari hapo bila kuharibu. Mbona hilo tope sio kubwa hivyo
Uhai upi unaozungumzia? Hiyo gari ilikuwa haina mtu yoyote ndani. Hao wanajeshi wapumbavu wameacha kutoa tope na kuivuta kwenye chasis wakaamua kuiharibu bodi lililopona kwenye maji yaliyoliburuza.FICHA UJINGA WAKO
Uhai wa mwanadamu hauwez thaminishwa na kitu chochote kile.
Hamna watu humo, kinachofanyika ni kusafisha road na kunasua gari zilizokwama, ila hapo wanachofanya ni uharibifu wa mali ya mtu...Gari ina thamani gani mbele ya uhai wa mtu? Yaani waokoe gari badala ya watu, hii ni akili au matope?
Kwa video uloweka,bodi imekunjika kdg sanaUhai upi unaozungumzia? Hiyo gari ilikuwa haina mtu yoyote ndani. Hao wanajeshi wapumbavu wameacha kutoa tope na kuivuta kwenye chasis wakaamua kuiharibu bodi lililopona kwenye maji yaliyoliburuza.