Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Kuna watu wana matatizo ya akili. Sasa hapo kosa liko wapi? Demage ya gari ni ndogo kuliko uwepo wa hilo gari hapo. Tutumie bongo zetu vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi posho zao ni nyingi kuliko msaada wanaoutoaHapo wanajilipa posho maana hata waliofiwa wamepewa milioni moja tu, hakuna raia atalipwa na hii serikali labda utokee muujiza.
Akili mtu wangu!Justification kwamba askari huwa hawana akili, walishindwa nini kuivuta kwa nyuma kwa kufunga chain kwenye chasis yake
Wewe mpuuzi haujawahi kumiliki gari, hufahamu gharama kubwa sana iliyoongezeka hapo kwenye matengenezo.Kuna watu wana matatizo ya akili. Sasa hapo kosa liko wapi? Demage ya gari ni ndogo kuliko uwepo wa hilo gari hapo. Tutumie bongo zetu vizuri
We kalaghabaho tu huna unalojua. Kwahiyo unajitangaza umewahi kumiliki gari unasikia rahaaa..Wewe mpuuzi haujawahi kumiliki gari, hufahamu gharama kubwa sana iliyoongezeka hapo kwenye matengenezo.
...atakuwa mwenda kichaaSamahani sana mkuu, naomba kuuliza
Hv ww una akili timamu au ni mwendawazimu.?
Sawa mkuu. Fanya kitu roho itapenda!!!Sitaki kuvumilia upuuzi
Wangeiacha bado ungekuja kulilia huku... Asee jaribuni kuwa na shukrani hata kwa kidogoWewe ni heri serikali ikupeleke ukakae na wanyama wenzio kule gombe national park.
Wamainasua. nadhani wanstahili pongeziKwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
View attachment 2834898