Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Samahani sana mkuu, naomba kuuliza
Hv ww una akili timamu au ni mwendawazimu.?
😂😂😂🙌 ila Jf…Hivi una akili kweli kichwani? Au umeleta tu mzaha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani sana mkuu, naomba kuuliza
Hv ww una akili timamu au ni mwendawazimu.?
😂😂😂🙌 ila Jf…Hivi una akili kweli kichwani? Au umeleta tu mzaha?
Upo nyuma ya keyboard nenda kaonyeshe iyo namnaHapakua na haja ya kutumia njia hiyo, palikua na possibly nyingine ya kuondoa hio gari hapo bila kuharibu. Mbona hilo tope sio kubwa hivyo
Kweli sijamiliki gari na sijuiHaujawahi kumiliki gari na kujua maumivu ya hasara waliyoiongeza hapo.
Waonee tu huruma,most of our wanajeshi ni darasa la 7,form 4 & 6 failures.
Na wachache waliobaki degree holders na masters hawaruhusiwi kuhoji wala kupinga.
nenda kafunge wewe iyo minyororoWalipaswa wafunge mnyororo gari nzima nzima siyo huko juu.... Zoezi la uokoaji mali limegeuka zoezi la uharibifu mali..
Umemuinea, asakari apaswa kutumia akili zaidi, mleta uzi hajakosea lkn mazingira yenu yamewafanya muwe kama mlivyoFICHA UJINGA WAKO
Uhai wa mwanadamu hauwez thaminishwa na kitu chochote kile.
Lazima anyooke😂😂😂🙌 ila Jf…
we ni mpuuzi, ndio uniambie hamnazo?Wewe ni hamnazo. Gari haikuwa na mtu. Wangeiacha kama waliona kuivuta hawawezi.
Sasa mbona mnacharuana?Hivi una akili kweli kichwani? Au umeleta tu mzaha?
Justification kwamba askari huwa hawana akili, walishindwa nini kuivuta kwa nyuma kwa kufunga chain kwenye chasis yakeKwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.
Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?
Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?
View attachment 2834898
Unadhani kuna akili ya ziada apo? Wangefunga kwenye chasis mbona ingetoka vizuri tu bila uharibifu wa body!!Upo nyuma ya keyboard nenda kaonyeshe iyo namna