Hawa wanajeshi wa uokoaji walipe fidia kwa kuharibu hii hiace pale Katesh

Hawa wanajeshi wa uokoaji walipe fidia kwa kuharibu hii hiace pale Katesh

Nadhani zoezi walilokuwa wakifanya ni kusafisha njia ya maji endapo kutatokea mvua nyingine tena, maji yaweze kupita kwenye mtaro...

Otherwise kulikuwa na namna nyingine ya kuliondoa hilo gari kwa uangalifu ikiwepo kuondoa tope lililojazana kulizunguka gari...
 
Kwanini wameamua kuharibu hii gari? Taarifa nilizonazo ni kwamba hiyo gari ilikuwa nzima kabisa na ilikuwa imepaki takribani mita 50 kutoka hapo iliponasa.

Yaani mtu kapata hasara ya injini halafu nyie mnakuja kumuongezea hasara ya bodi?

Kweli hii gari ingekuwa ya mwanajeshi au polisi wangeifanya hivi?


View attachment 2834898
Justification kwamba askari huwa hawana akili, walishindwa nini kuivuta kwa nyuma kwa kufunga chain kwenye chasis yake
 
Back
Top Bottom