Haaa haaa ngoja niingie nivunjike mbavu...Kipindi kile anatumia Id ya chief eng ndio alikua anachekesha kweli. Ula mm the best kwangu napenda wawe wanatukana muda wote ni GuDume, connor, Thr List, Alonso14, Padri mcharo mcharuko.
Hua alonso14 na mcharo wanatukanana kule kwenye uzi wa Barcelona maana wote ne fans wa barca..
Utacheka ufe
Ndo mwenyew connor The list ...alonso nkajua ni hr666 ...huyu hrr sijui sahv ana id gan tenaHuyo The List ndio Connor.
Huyo Alonso 14 habari nyingine acha kabisa.
NafahamuNdo mwenyew connor The list ...alonso nkajua ni hr666 ...huyu hrr sijui sahv ana id gan tena
Duujh ..basi atakuwa ni mtu wa mikeka sanaNdio mtu mmoja huyo **** uzi wa betting kanasema laki mbili ni hela ya mboga so kanazipeleka mkeka bet
Rubbish,misukule,skunk[emoji2] [emoji2]Cheap wasted sperm[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....ni shigdaa
Mcharo ukimuingia vibaya utajuta ku login jfDuujh ..basi atakuwa ni mtu wa mikeka sana
Id zake kama..Ndo mwenyew connor The list ...alonso nkajua ni hr666 ...huyu hrr sijui sahv ana id gan tena
Haaa haaaaa....idiot, takataka kabisaRubbish,misukule,skunk[emoji2] [emoji2]
Hahahaaaaa umesahau jorda pol...hyo masonic ndo naiskia[emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119]Hr 666
Id zake kama..
Yeezus
Yeeezus2
Yeezy 666
Zote hizo zipo ban now anatumia...
Masonic666
Huyo The List ndio Connor.
Huyo Alonso 14 habari nyingine acha kabisa.
Hahaaaa ni shida me ata akin quote nanyamaza..ukishamjua mbwa hakupi shida...ngoja aje apa tutukanweHaaa haaaaa....idiot, takataka kabisa
Asee yule jamaa, inaonekana ana dharau sana
[emoji15] [emoji15] kafanyaje tena?Bundi katua humu naona witi kala ban
Sasa hapo kosa gani?Hii ndio imempaa ban aisee
Kama ni hyo bas na mm naweza pata si tunaigilizia jamn wanavyotukanaSoma reply yangu juu hapo utaona