Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Huyu jamaa na post zake...huwa napata picha atakua mwanaume flani,mfupi kiasi ana kitambi, hajui kuchukia muda wote ni utani na masihara......cha pombe mtu wa watu.
Vipi Bi Komwe, mbona kuguna?Mhhh..
Hadi unayesimulia unaona jinsi ilivyo mbayaHalafu kuna akina sisi hapa, yaani mtu nina stori nzuri tu, ila jinsi ya kuiwasilisha inakuwa kituko siyo stori tena
Mimi pia huyo jamaa namkubali sana
BICHWA KOMWE mtambo bab kubwa kwenye majibu yake anavyoshusha maneno dhidi ya wadau humu JF lazima ucheke hadi uzimie la sivyo uumwe tumbo kabisa [emoji119][emoji16]Mhhh..
Astaghifilullah!😂Huyu jamaa na post zake...huwa napata picha atakua mwanaume flani,mfupi kiasi ana kitambi, hajui kuchukia muda wote ni utani na masihara......cha pombe mtu wa watu.
🤣🤣🤣haya bhanaMimi pia huyo jamaa namkubali sana