fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
😂😂 madam am just practising my knowledege in speaking englishNa fundi bishoo na kiingiilishi chake🤭🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 madam am just practising my knowledege in speaking englishNa fundi bishoo na kiingiilishi chake🤭🙌
Dah.... 🤣Huyu jamaa na post zake...huwa napata picha atakua mwanaume flani,mfupi kiasi ana kitambi, hajui kuchukia muda wote ni utani na masihara......cha pombe mtu wa watu.
Hio avatar katoa katika movie flan hivi ya lingo, kipupwe, tin white muvie inaitwa pikipiki siku ya kikao cha piki piki ndo ilikua hio apo katika avatar@mpaji munguKatia avatar ya Ringo Makinitoshi
Poa vp Vinny?Mambo
Nipo gudiPoa vp Vinny?
PoapoaNipo gudi
Sijambo shem kwema? Msalimie sana alietushemejisha 😊😅😅😅 nakusalimia shem shem.
Anza kunyanyua vitu vizito kabla hujapigwa navyo.Sema siku wadada wakiweka kigezo Cha kupendwa iwe kifua wallahi nimeisha mimi
LaanakhumAstaghifilullah!😂
Afu we shemela wewe..!!! Je kama kajifuatilia..!!??Umejianzishia uzi bana 😁
Kama yule comedian Leonard ana demu na mm siwezi kosaAnza kunyanyua vitu vizito kabla hujapigwa navyo.
Wanasema laanatullah!Laanakhum
Bila shaka Shemeji, heri ya siku ya Jumapili.Sijambo shem kwema? Msalimie sana alietushemejisha 😊
Alaaaah!!! Nimechelewa kuona hii, naomba code ya wiki ijayo 😅😅Kesho tuwahi ibada ya kwanza...nakupa code ya kunijua mapema, pastor akisema warumi 6:23 aliepata atusomee yule wa kwanza kupata na kuwasomea ndo mimi...hii ni serious
Code hyo hyo sema next week panapo majaliwa ntashiriki ibada ya piliAlaaaah!!! Nimechelewa kuona hii, naomba code ya wiki ijayo 😅😅
Kama unanisema vile,mie mpaka nimchukie mtu ujue utakuwa umenikera kupita kiasi.Huyu jamaa na post zake...huwa napata picha atakua mwanaume flani,mfupi kiasi ana kitambi, hajui kuchukia muda wote ni utani na masihara......cha pombe mtu wa watu.
😀👍😂Wanasema laanatullah!