BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Cc: LamomyBICHWA KOMWE mtambo bab kubwa kwenye majibu yake anavyoshusha maneno dhidi ya wadau humu JF lazima ucheke hadi uzimie la sivyo uumwe tumbo kabisa [emoji119][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc: LamomyBICHWA KOMWE mtambo bab kubwa kwenye majibu yake anavyoshusha maneno dhidi ya wadau humu JF lazima ucheke hadi uzimie la sivyo uumwe tumbo kabisa [emoji119][emoji16]
Job true trueKazi kwelikweli
😁😁Kijana mm harmonize kanichekesha sana anasema "Kuna kipindi mahusiano yalinichanganya sana nkampigia mama Samia.."
Umeniwahi shemeji, nilikuwa nimtaje huyo jamaa. 😆
Kuna muda kama anakuwa dakika 10 mbele shemeji 😂Umeniwahi shemeji, nilikuwa nimtaje huyo jamaa. 😆
Avatar yake huwa inanifanya nacheka kama boya fulani 😂😂😂Umeniwahi shemeji, nilikuwa nimtaje huyo jamaa. 😆
😂 umesahau aliwahi sifiwa na mkifua wake😁😁Kijana mm harmonize kanichekesha sana anasema "Kuna kipindi mahusiano yalinichanganya sana nkampigia mama Samia.."
Katia avatar ya Ringo MakinitoshiMimi ambaye huwa ananichekesha kuanzia avatar mpaka post zake ni Mpaji Mungu 😂😂😂
Dada nakusalimiaUmeniwahi shemeji, nilikuwa nimtaje huyo jamaa. 😆
😁😁😁Nafanana na huyo jamaa kwenye avatar yanguMimi ambaye huwa ananichekesha kuanzia avatar mpaka post zake ni Mpaji Mungu 😂😂😂
Sema siku wadada wakiweka kigezo Cha kupendwa iwe kifua wallahi nimeisha mimi😂 umesahau aliwahi sifiwa na mkifua wake
Avatar yake huwa inanifanya nacheka kama boya fulani 😂😂😂
Dada nakusalimia
Kuna muda kama anakuwa dakika 10 mbele shemeji 😂
Kesho tuwahi ibada ya kwanza...nakupa code ya kunijua mapema, pastor akisema warumi 6:23 aliepata atusomee yule wa kwanza kupata na kuwasomea ndo mimi...hii ni seriousNimepokea nimepokea! 😀😅