Hawa wanapiga Jalamba muda wote. Kocha anaingiza uwanjani wachezaji wengine

Hawa wanapiga Jalamba muda wote. Kocha anaingiza uwanjani wachezaji wengine

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Imagine mmekaa pembeni ya uwanja, upo bench. Unaamka unapasha misuli moto. Unapiga jalamba. Kocha anaamka anamnyanyua mchezaji benchi anamwingiza uwanjani.

Wewe anakuacha unaendelea kupasha misuli moto. Anasimama tena akimuita mchezaji mwingine atoke. Unakenua meno kuwa sasa ni zamu yako. Anamuita mchezaji atoke. Halafu anamwita mwingine aliyeko jukwaani. Hata kwenye benchi hayupo anamwingiza. Unashangaa.😳

Unaendelea kupiga jalamba na kuimba nyimbo za sifa na mapambio. Unapaswa kujua team ina wenyewe. Lucas mwashambwa
 
Ingizo jipya lisikushtue lakini ni alama tosha ya kuwachapa baadhi ya vikundi vilivyojinasibu kutaka mamlaka ya juu, haikuwa Kwa bahati mbaya ingizo hilo wenye uelewa wanapaswa kwenda na wakati ili kulinda maslahi na nafasi zao.
 
Pole aise,
Shabiki ndio anaumia zaidi
Uko wap kamanda.....
 
Samia kashasema amemteua DAB kwakua alimnenea mazuri huko nyuma.

Maana yake amelipa fadhila.
 
Mbona povu,Unajuaje kwamba kusifia ndio kazi yake? Wewe inakuuma wapi? Uliombwa ugali wa Watoto? 😆😆😆😆
Sasa usiseme hiyo mijitu inasifia kwa kujitolea tu labda useme huko kusifia ndio kunawapa ugali hapo sawa nitakuelewa lakini sio et jitu zima lina familia liache mambo yake ya msingi na kushinda mitandaoni kusifia tu muda wote.
 
Imagine mmekaa pembeni ya uwanja, upo bench. Unaamka unapasha misuli moto. Unapiga jalamba. Kocha anaamka anamnyanyua mchezaji benchi anamwingiza uwanjani.

Wewe anakuacha unaendelea kupasha misuli moto. Anasimama tena akimuita mchezaji mwingine atoke. Unakenua meno kuwa sasa ni zamu yako. Anamuita mchezaji atoke. Halafu anamwita mwingine aliyeko jukwaani. Hata kwenye benchi hayupo anamwingiza. Unashangaa.😳

Unaendelea kupiga jalamba na kuimba nyimbo za sifa na mapambio. Unapaswa kujua team ina wenyewe. Lucas mwashambwa

Imagine mmekaa pembeni ya uwanja, upo bench. Unaamka unapasha misuli moto. Unapiga jalamba. Kocha anaamka anamnyanyua mchezaji benchi anamwingiza uwanjani.

Wewe anakuacha unaendelea kupasha misuli moto. Anasimama tena akimuita mchezaji mwingine atoke. Unakenua meno kuwa sasa ni zamu yako. Anamuita mchezaji atoke. Halafu anamwita mwingine aliyeko jukwaani. Hata kwenye benchi hayupo anamwingiza. Unashangaa.😳

Unaendelea kupiga jalamba na kuimba nyimbo za sifa na mapambio. Unapaswa kujua team ina wenyewe. Lucas mwashambwa
Hayo yoote yanatokana na kuteuliwa kwa DAB huku LUCAS MWASHAMBWA pamoja na kuwa mpasha misuli joto muda woooote kuachwa?

Muache aendeleze kipaji cha Pascal viziri mkuu maana naona ktk kupasha misuli joto muda wooote ni mrithi wake sahihi kabisa.
 
Hayo yoote yanatokana na kuteuliwa kwa DAB huku LUCAS MWASHAMBWA pamoja na kuwa mpasha misuli joto muda woooote kuachwa?

Muache aendeleze kipaji cha Pascal viziri mkuu maana naona ktk kupasha misuli joto muda wooote ni mrithi wake sahihi kabisa.
Ha ha ha
 
Back
Top Bottom