Rais Samia na yeye achukue japo kitu chake kimoja tu. Daraja Wami, Busisi, Nyerere power, Stendi zote, meli, SGR, Morogoro Road, Interchange zote ni JPM kazi ya awamu ya 6 ni kuandaa sherehe kufungua miradi ya JPM.
Ebu SAMIA kama una uwezo, watue wanawake wenzio ndoo kichwani. Chukua MAJI tu.