Hawa wanaume hatujawajulia tu

Hawa wanaume hatujawajulia tu

Kwamba kilamtu achague wake wakae pembeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana bwana sio uchague wako ukae pembeni, hapo ni mwendo wakushare. Yaani ukiona hawa jamaa handsome basi u agegedwa nao kwa zamu zamu🤣🤣🤣🤣
 
Hapana bwana sio uchague wako ukae pembeni, hapo ni mwendo wakushare. Yaani ukiona hawa jamaa handsome basi u agegedwa nao kwa zamu zamu🤣🤣🤣🤣
Naelewa ni citchat but kichwa chako hakiko sawa.
Huenda umewahi kutana na jambo gumu sana maishani kimekuathiri kisaikolojia ni siri yako mkuu
 
Hapana bwana sio uchague wako ukae pembeni, hapo ni mwendo wakushare. Yaani ukiona hawa jamaa handsome basi u agegedwa nao kwa zamu zamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]kha
 
Naelewa ni citchat but kichwa chako hakiko sawa.
Huenda umewahi kutana na jambo gumu sana maishani kimekuathiri kisaikolojia ni siri yako mkuu
Kivipi tena jamani sii kuna watu wanapenda kuingia kwenye orgy...ni fantasy tuu mzee. Sasa kama hitler alikuwa na fantasy ya kukojolewa mkojo na wanawake kwa nini ushangae mie kutaka orgy
 
Mwanaume hata uweke lidudu lake puani nyeigee zikiisha mkitoka kwake au guest au hata kwenye misutu huwa anasahau anaangalia mwingine.
Kweli hawa nikutafuta mnae elewana naye mpange muoane umpe maujuzi ya wastani usijichoshe hata jatafute hela watoto wanakuja watakula nini mkiendekeza mapenzi hadi kwenye silling board wewee huu muda hamnaga nikipindi kile cha hawa na adam sai nikutafuta hela .
 
Mwanaume hata uweke lidudu lake puani nyeigee zikiisha mkitoka kwake au guest au hata kwenye misutu huwa anasahau anaangalia mwingine.
Kweli hawa nikutafuta mnae elewana naye mpange muoane umpe maujuzi ya wastani usijichoshe hata jatafute hela watoto wanakuja watakula nini mkiendekeza mapenzi hadi kwenye silling board wewee huu muda hamnaga nikipindi kile cha hawa na adam sai nikutafuta hela .
Dudu kwa pua tena...hicho kitakuwa kibamia
 
Mwanaume hata uweke lidudu lake puani nyeigee zikiisha mkitoka kwake au guest au hata kwenye misutu huwa anasahau anaangalia mwingine.
Kweli hawa nikutafuta mnae elewana naye mpange muoane umpe maujuzi ya wastani usijichoshe hata jatafute hela watoto wanakuja watakula nini mkiendekeza mapenzi hadi kwenye silling board wewee huu muda hamnaga nikipindi kile cha hawa na adam sai nikutafuta hela .
Katoto kazuri katika ubora wako
 
❤️tutavunga tu but ndo uhalisia
Ukikubali kuolewa shurti kulala bila chup.., halafu sio kutoa k kwa kumfanya asichepuke ni kumpa haki yake ya msingi naona wengi wanachanganya hapo, kutoa kwa kumfanya asichepuke basi ke hatofurahia,, ila ukijua k yako Ni halali na haki ya mumeo basi mtafurahia wote na hutajali wapi utampa haki yake,, ilmradi pawepo usiri wa kufanya tendo tu,, mi Kuna wakati wangu akiwa anaendesha pembeni anapima oil taratiiiibu mpk mkafike mnakoenda ushalowa sawasawa ikifika inateleza tu
 
Ukikubali kuolewa shurti kulala bila chup.., halafu sio kutoa k kwa kumfanya asichepuke ni kumpa haki yake ya msingi naona wengi wanachanganya hapo, kutoa kwa kumfanya asichepuke basi ke hatofurahia,, ila ukijua k yako Ni halali na haki ya mumeo basi mtafurahia wote na hutajali wapi utampa haki yake,, ilmradi pawepo usiri wa kufanya tendo tu,, mi Kuna wakati wangu akiwa anaendesha pembeni anapima oil taratiiiibu mpk mkafike mnakoenda ushalowa sawasawa ikifika inateleza tu
😂😂😂😂 anaendesha huku oil inapimwa taratiiibu...hahaha!
 
Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.

Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...[emoji15]mpe kile Cha chap Kwa haraka [emoji6] egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu[emoji1787] (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede[emoji849])

Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao[emoji119]

Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu[emoji3525]... maskini [emoji3064]ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....

Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio...

Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na[emoji57] juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo![emoji849][emoji3525]. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia[emoji24] daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji57]

NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah![emoji2955]
Umeongea point sana aisee,naamini ndoa haitokushinda kabisa.
 
Exactly,kwa hiyo hayo uliyoandika yafanyike hayasaidii kitu... kama sio wako hata utoe figo kwa ajili yake hawezi kubaki

Kama mmependana mtaishi kama binadamu wa kawaida,haitakiwi kuwepo upande mmoja unaofanya jitihada nyiiiingi ili mahusiano yenu yadumu

Kumridhisha binadamu ni ngumu
Njoo unifanyie mimi hivyo,uone km nitakuacha.
 
Huu Uzi sikuuona jn Nilikuwa wine nyingi..anyway na experience ndoa mpya nitachangia mwakani
 
Sawa sasa mama kila tar 25 me ntakua nasogeza fedha ya data
Yaani usije kosa bundle kabisaaaaaaa[emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]





Ndio maana namkumbukaga x x x
Yule mdada alikua hanaga pingamizi aise[emoji16][emoji16] wangoni shikamoo[emoji1316]
Nlikua nae kwa miezi kadhaa tu
Ila katika siku zote siku tulizo x bedroom ni 2,3 nadhan
Ila za outside ni kama zote

Kuna day tulikua tumeenda sehemu hivi kutembea tupoteze muda...of corse sikua nmewaza ku x
Akanmby twende tukakae palee juu ya lile jiwe...

Kilichofuata ndio hivyo tena

Pia hi n nzuri km babe wako ni mwembamba hiv[emoji3]
Kho kho kho
 
Hua hukomagi... Weka video tuone hayo maujuzi...

Au achana na haya mambo, fanya mambo mengine...
 
Back
Top Bottom