Hawa wanaume hatujawajulia tu

Hawa wanaume hatujawajulia tu

Naona hii trend inayoendelea bongo inashika kasi kila sehemu
Trend ya kuongea au kuandika vitu ambavyo jinsia nyingine wanadhaniwa kupendelea ili kujipatia umaarufu

Kwa wanaumewanaongelea vitu ambavyo vitawafanya waonekane ni magentle men kwa wanawake
Mf.mwanaume lazima utafute pesa,wanaume wapeni pesa wanawake

Wachungaji kuzungumzia zaidi mahusiano kuliko kupinga maovu,dhambi,upendo
Na hapa kwa wachungaji wengi wanawake utaona wakiwasema sana wanawake wenzao na kuonesha wao wanawafaham vizuri wanaume

Wanawake kuwasema wanawake wenzao ili kujipatia umaarufu kwa jinsia ya kiume mf..hii post na za dada fulani anatrend tik tok


NB: mf hii thread itapendwa na wanaume zaidi ya 90% na itachukiwa na wanawake zaidi ya 90%
 
Naona hii trend inayoendelea bongo inashika kasi kila sehemu
Trend ya kuongea au kuandika vitu ambavyo jinsia nyingine wanadhaniwa kupendelea

Kwa wanaumewanaongelea vitu ambavyo vitawafanya waonekane ni magentle men kwa wanawake
Mf.mwanaume lazima utafute pesa,wanaume wapeni pesa wanawake

Wachungaji kuzungumzia zaidi mahusiano kuliko kupinga maovu,dhambi,upendo
Na hapa kwa wachungaji wengi wanawake utaona wakiwasema sana wanawake wenzao na kuonesha wao wanawafaham vizuri wanaume

Wanawake kuwasema wanawake wenzao ili kujipatia umaarufu kwa jinsia ya kiume mf..hii post na za dada fulani anatrend tik tok


NB: mf hii post thread itapendwa na wanaume zaidi ya 90% na itachukiwa na wanawake zaidi ya 90%
Sawa,lakini kwani kuna shida yoyote?
Mbona dokta unamuomba auzungumzie mwili wako?
Mbona unayazungumzia mahitaji ya mbwa,kuku na hata paka wako?
Ni vizuri tujuane ili tupeane!
 
Wakumbushe pia wengine hatutaki maviuno yao kama feni mbovu.Unapelekewa amapiano kaa kwa kutulia maviuno ya nini sasa?!
Yanakujaga tu,ila kama anazungusha akuridhishe hayawezi kukufurahisha katu coz siyo natural
 
No one know tomorrow ukiwa una reasoning sana Kuna mambo utafanya alafu baadae utaanza kujilaumu, ukipata nafasi una enjoy mkiachana hayo ni matokeo
Kuachana kupo but good memories ni better than kubaki na bad memories
 
Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.

Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...😳mpe kile Cha chap Kwa haraka 😉 egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu🤣 (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede🙄)

Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao🙌

Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu☹️... maskini 🥺ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....

Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio... Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na😏 juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo!🙄☹️. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia😭 daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao😭😭😭😠😏

NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah!🤨
Upewe ulinzi kuanzia sasa, na sanamu lako Itajadaliwa lijengwe wapi!
 
Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.

Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...😳mpe kile Cha chap Kwa haraka 😉 egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu🤣 (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede🙄)

Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao🙌

Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu☹️... maskini 🥺ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....

Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio... Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na😏 juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo!🙄☹️. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia😭 daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao😭😭😭😠😏

NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah!🤨
Wewe mwanamke utaniua kwa ngono
 
Masikini ya Mungu. Baba na mama wanajua wana mtoto kumbe kanawaza ngono tu na thread zake ni za ngono tu. Anaamini kutoa ngono kwa mwanaume ndio silaha ya kutafuta na kuilinda ndoa yake. Hajui kuwa ndoa inalindwa na Mungu aliyeanzisha taasisi hii ya ndoa. Mungu akusaidie kwa kweli
 
Back
Top Bottom