Hawa wanaume hatujawajulia tu

Hawa wanaume hatujawajulia tu

Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.

Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...[emoji15]mpe kile Cha chap Kwa haraka [emoji6] egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu[emoji1787] (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede[emoji849])

Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao[emoji119]

Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu[emoji3525]... maskini [emoji3064]ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....

Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio...

Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na[emoji57] juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo![emoji849][emoji3525]. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia[emoji24] daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji57]

NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah![emoji2955]
We ndo mshkaji wetu Sasa unajua Nini tunataka,

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Huu ndio ukweli uliofichwa na hausemwi. Kila siku nasema mwanaume anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya ngono hakuna kingine zaidi ya hicho. Ngono ndio sababu ya kwanza, hongera sana kwa kulitambua hilo.

Mwanamke kama umekubali kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ujue kuwa Mbususu lazima ichakatwe ipasavyo tena wakati wowote ule. We endelea kubana mchawi katika mahusiano yako ni ww mwenyewe, narudia tena mwanaume anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya NGONO.

Mimi siwezi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke kama DADA na KAKA hiyo kitu ni never yaani unizingue kunipa Mbususu alafu niendelee kuwa na wewe, aisee wanawake ni wengi nitatafuta alie tayari kunipa muda wowote nitakao itaji.
Uzi umefungwa idd Mubarak
 
🥰ee bhana,maana hata tujikweze vp haibadiliki kuwa Nyie ni baba zetu
uko matured, kwa kifupi mimi nikupate jama wew sahau kukuacha!!! maana kila muda umenichosha, na siwezi tamani kwingine, wanaume wengi tamaa huja pale anapokuwa na sperm nyingi mwilin,
 
Hii kitu kila siku nasema kwenye ndoa yangu ila now nimekuwa tired nimeamua kumuacha tu maana wanawake wanahisi mapenzi ni usiku na mchana mapenzi ni popote pale hata chooni au polini au hata kwenye park usiku me naenjoy hivyo hata garage unainama faster unapigwa mtu mwanaume hawezi kutoka nje...
 
Hii kitu kila siku nasema kwenye ndoa yangu ila now nimekuwa tired nimeamua kumuacha tu maana wanawake wanahisi mapenzi ni usiku na mchana mapenzi ni popote pale hata chooni au polini au hata kwenye park usiku me naenjoy hivyo hata garage unainama faster unapigwa mtu mwanaume hawezi kutoka nje...
Kutoka hatuwazuii tunachozuia kuwapa sababu
 
Kutoka hatuwazuii tunachozuia kuwapa sababu
Kabisaa nakubaliana na wewe ndip ila vile vile sasa nitoke nje kwa sababu gani hasa??ila hizo sababu zenu saa zingine zinatuchosha sana wanaume maana kwanza sisi mnatujua tunapotala kula inabidi tule sio story kesho au nimechoka au sipo kwenye mood ofcoz kuna kuchoka ila saa zingine ni vizuri ku try ila ndugu yangu nimeupenda sana uzi wako naamini wanawake wengine watajifunza something hapa...
 
Exactly,kwa hiyo hayo uliyoandika yafanyike hayasaidii kitu... kama sio wako hata utoe figo kwa ajili yake hawezi kubaki

Kama mmependana mtaishi kama binadamu wa kawaida,haitakiwi kuwepo upande mmoja unaofanya jitihada nyiiiingi ili mahusiano yenu yadumu

Kumridhisha binadamu ni ngumu
Na kama ni wa kwako na mnapendana hata kufanya hayo utaona ni jambo la kawaida sanaa na sio kujipendekeza
 
Nabold uzi [emoji846][emoji846]

Hawapendagi kupimiwa mbususu

Ila bado kuna wengine utabinuka mpaka utenguke maini ila kutulia na wewe ni nehiii… labda akuheshimu kwa kucheat kwa akili sana ili usijejua.


Wale ME ambao msipopimiwa na nyie mnakuwa ma gentle in all aspects aiseee mubarikiweeee, na wallet zenu zisikose manoti [emoji6][emoji2957][emoji39][emoji39].
Tukikamuliwa vizuri hatutoki kwenda popote. Trust me MDA wote ntakua nakukumbuka tu Leo napewa chumban au toi au jikon au ...
 
Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out.

Mbinu nyingine usichague wakati, yaan kama mpo pamoja tu mpe I mean iwe asubuhi, mchana au jion usiku pia, Leo akitaka mchana poa, kesho usiku poa... usimpangie eti nitakupa kesho mwenzio kataka Leo...[emoji15]mpe kile Cha chap Kwa haraka [emoji6] egamia hata kochi pandisha kasketi hako ashushe kabukta kake hako kagumu[emoji1787] (kama ulimwachia afue hawajui kufua hao wanaacha tuboksa na povu ikikauka inakakamaa kama inataka kusimama Dede[emoji849])

Jambo lingine ni usisubiri aanze yeye kudai haki ya ndoa, anza hata wewe mwenyewe.... hizi aibu utafikiri ndio mnaanza kutongozana zinacost aisee.... hata usipotamka ukishika tu pahala pale akakutazama usoni na macho yakaongea aisee, mbona anavua chap Kwa haraka hawasubirigi hao[emoji119]

Mtu mwingine anaweza kusema tutakuwa tunashindia ngono tu[emoji3525]... maskini [emoji3064]ndio maana ulioa, uliolewa la sivyo ungekaa hata na nduguzo.....

Na mwisho ni matumiz mazuri ya ulimi, kama unampenda jishushe, usipande juu kabla yake Wala baada ya yeye kupanda juu.... Magumu yapo but relax... nimejifunza kutoka kwangu mwenyewe... Kuna neno nishawahi tamkiwa, Kali, baya, chungu.... japo aliomba msamaha but linanotafuna mpaka Leo..... utaomba msamaha Kwa kuropoka neno baya utaambiwa umesamehewa lakini unakuwa umemwachia kovu mwenzio...

Kwa mfano mwenzio ameanza kuwa na tatizo la nguvu za kiume, siku mmekwazana,wewe ukasema"nawe unajiona mwanaume katika wanaume na[emoji57] juu" Aisee huyo jamaa hatokuja akae sawa mpaka anaingia kaburini, yaan atakuwa akitaka kuchomeka tu,anakumbuka neno lako Ivo anajua unamchora tu hapo![emoji849][emoji3525]. Nina mtoto wa kiume naumia wanapoumizwa, wengine hata hawakupata malezi mazuri toka Kwa wazazi wao tuwalee hata Kwa nusu bas kama kina mama, Kuna muda mruhusu mlie pamoja anapokuwa na maswahibu toka job, wanakutana na mengi wanakosa pa kulalamikia[emoji24] daah, hata sielewi naumia na Nini wakati niliumizwa nao[emoji24][emoji24][emoji24][emoji34][emoji57]

NB: Tumieni vyombo Ivo jamani, kufa kwaja .... daah![emoji2955]
Hapo kila kitu [emoji3514].
 
Back
Top Bottom