Hawa wanawake wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu

Hawa wanawake wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu

Ukiwa mwanaume shida sana sometimes unaingia chaka ambalo hata wenyeji wanakushangaa hata ukichomoka mwenyewe unasema hivi ni mm au?
Hahahahaaaa

Hii ni ukweli 100%, yan kuna demu unafukuzia ila madogo wa bodaboda wakijua kila ukipita wanacheka, kuja kujua wanachochekea aidha upigwe tukio au mmoja aropoke
 
Mimi niwe mkweli, yule binti kidogo niweke makazi permanent pale sababu mambo alonipa sikuwahi kuyapata popote pale hapo kabla.

Cha kushangaza siku naenda kwake kumchukua akanipe maburudani tena si nikakuta kulikua na shuhuli (wao wanaita hivo), anacheza kashika dela linaonesha pichu kabisa na anakatika hatari, wengine walikua wameyanyanyua juu, mapaja nje. Nilipaki gari nikamuita mtoto mmoja aniitie, dem kaja anacheza cheza haoni aibu kabisa wala hajishtukii. Nikamchukua nikaenda mbele kidogo na pale nikastua bao mbili akarudi kucheza ngoma zake toka hio siku sijaongea nae tena.

Hawa viumbe wakikukuta una upwiru unaweza hata kufikiria kuoa, kumbe ni bomu
Ulikutana na kienyeji OG wewe.
Huwa wana fujo za ajabu kitandani unaweza jikuta unaahidi kuhonga bandari kama vile wewe ndio DP World.
 
Hawa mademu wa uswahilini ni nouma sana wanajua mambo balaa sema sasa matendo yao ni mabaya sana.
Acha tu. Kuna ka fatuma kamoja nilishawahi kuwa nae enzi za ujana, kale katoto hakakuwa na mwili ila kalikuwa na kitako kimoja cha uchokozi mno, hukinai kukaona uchi.

Kale katoto ni kama vile hakakuwa na mifupa, hakuna mkunjo wowote utakaomuweka kasikunjike na kwake neno 'nimechoka' ilikuwa hakuna. Nishindwe mimi, ila nikiweza hata siku nzima mnaweza kubanduana mfululizo.

Tatizo lipo kwa hawa wanaojiita ma slay queen na wazungu, kwanza wavivu kitandani, hawajui kujisafisha sababu ya mikucha na full vizinga.
 
Acha tu. Kuna ka fatuma kamoja nilishawahi kuwa nae enzi za ujana, kale katoto hakakuwa na mwili ila kalikuwa na kitako kimoja cha uchokozi mno, hukinai kukaona uchi.

Kale katoto ni kama vile hakakuwa na mifupa, hakuna mkunjo wowote utakaomuweka kasikunjike na kwake neno 'nimechoka' ilikuwa hakuna. Nishindwe mimi, ila nikiweza hata siku nzima mnaweza kubanduana mfululizo.

Tatizo lipo kwa hawa wanaojiita ma slay queen na wazungu, kwanza wavuvi kitandani, hawajui kujisafisha sababu ya mikucha na full vizinga.

Dj waleteeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wavuvi wananuka kifish fish [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
Ulikutana na kienyeji OG wewe.
Huwa wana fujo za ajabu kitandani unaweza jikuta unaahidi kuhonga bandari kama vile wewe ndio DP World.
Hahahahaaa bandari yenyewe hata bado ujapewa, ndo kwwnza deal ila unaihonga
 
Back
Top Bottom