Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.

- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti

Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia baadae", inatia sana hasira!

Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.

Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee, naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k

Kesho tena hivyo hivyo, yaani kila wiki lazima wapite hata mara 3.
 
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba ndio unamuona.

Kabla hajaingia lazima apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa na ana oda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Anapenda sana kubagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vipi njoo uchukue maana leo sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema huwa sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"Oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpaka unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
 
kuna mzee Mmoja huyo hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,

Kabla hajaingia Kuingia mpira lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapataba bei, usifunge duka, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili niambie,

Jamaa baadae ananiambia mzee kapitia nyuma ya banda...
😂😂😂😂😂Mashabiki wa simba hatuna ujinga huo
 
Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.

- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti

Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia badae", inatia sana hasira!

Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.

Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee , naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k , ,

Kesho tena ivyo ivyo, yani kila wiki lazima wapite hata mara 3.

Umewashika sura? wanajirudia wale wale? kamata mmoja tandika makofi
 
kuna mzee Mmoja huyo hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,

Kabla hajaingia Kuingia mpira lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka Nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana leo Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae ananiambia "oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana daaaah
 
Nilivyokuwa chuo kuna subtopic nilifundishwa juu ya kuwajua wateja aina zao, sifa zao na jinsi ya kudeal nao..

Embu kabla hatujajiingiza uko tujaribu kuwajua aina mbalimbali za wateja na sifa zao, itatusaidia sana.

Hivi ushawahi kukutana na mteja mlalamikaji, yaani yeye hata umuhudumie vipi atalalamika tu....yaani hata umpe bure kama offer bidhaa yako bado atalalamika tu either umempunja au umemuibia...

Na wapo kinyume chao...kuna wengine hata uwapunje, yani kitu cha sh. 100 ukamuuzia sh 200 wala hawajali kabisa...na kesho atakuja tena kupata huduma.

NOTE:- WHAT YOU RESIST PERSIST, BE POSITIVELY.
 
Huu ujinga huwezi kuta kwenye maduka kama DANUBE ile ya GSM Mlimani
Unakuta furniture zina Tag kabisa Seti ya Sofa ni Tsh 9M yes Tsh 9M kama unataka nunua kama hutaki tembea
 
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,

Kabla hajaingia Kuingia mpira lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka Nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana leo Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani nitext...
"oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa Si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpk unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Carleen
Pita hapa mdogo wangu.. Nimecheka mno..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Carleen
Pita hapa mdogo wangu.. Nimecheka mno..
😂😂
Ahsante kwa tag dada mkubwa, naomba next time ukipatana na kituko usinisahau tavazali, halafu reyzzap ni nini huwa mbaya naye.? Sijawahi ona a comment kitu kisha usicheke..!!
 
Back
Top Bottom