Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

Tatizo na nyie wauzaji hamueleweki mnapandisha bei kiholela mno. Kuna sehemu nilienda zaidi ya mara tatu naulizia kitu kimoja nakuta bei tofauti huku muuzaji ni yule yule.
 
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,

Kabla hajaingia lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka Nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana leo Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa Si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpk unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
Huyu kiboko.
 
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,

Kabla hajaingia lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka Nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana leo Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa Si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpk unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
😂😂😂😂😂😂😂 Mbavu zangu
 
muhindi ndiyo anawapiga bao hapo waswahili kwenye biashara.

Muhindi ukienda dukani kwake yeye ndo anajihangaisha kukuonyesha bidhaa zaidi ya zile unazoziulizia.

Hebu ifike mahali waswahili mjifunze cross-selling and up-selling.
Muhindi yupi mbona wa Kariakoo wanatuma mbongo Juma onyesha hiyo

Yeye kakaa nyuma ya kabati
 
Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..
Akija siku nyingine mwambie akupe laki moja kwanza kabla kuanza kuuliza anachokitaka. Akiuliza kwa nini unamwambia ni gharama za malipo ya stoo kwa ajili ya mizigo minne tuliyoifunga tukisubiri uje kuinunua ukitoka kwenye banda la mpira.
 
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba ndio unamuona.

Kabla hajaingia lazima apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa na ana oda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Anapenda sana kubagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vipi njoo uchukue maana leo sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema huwa sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"Oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpaka unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila ulimkosea huyo mzee, hivi hajarudi tena? au tuseme leo si kuna mpira wa simba vs yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila ulimkosea huyo mzee, hivi hajarudi tena? au tuseme leo si kuna mpira wa simba vs yanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sijamkosea chochote mkuu,
Ni Sifa zake ndio zinamtesa, namsubiri kesho na kitambi chake
 
Makiseo na Carleen mnaombwa mkaripoti kituo chochote cha polisi kilicho karibu yenu sababu mmeharibu uzi wa jamaa kwa stori
Haha..
Huu ni uthibitisho kuwa umeelewa tulichokuwa tunafanya na Makiseo na hii ni namna yako ya kipekee ya kutuunga mkono ili tuendelee kuharibu vizuri uzi wa watu na mimi kwa moyo mkunjufu kabisa nakukaribisha sana..!!
 
Muhindi ndiyo anawapiga bao hapo waswahili kwenye biashara.

Muhindi ukienda dukani kwake yeye ndi anajihangaisha kukuonyesha bidhaa zaidi ya zile unazoziulizia.

Hebu ifike mahali waswahili mjifunze cross-selling and up-selling.


Muhindi maisha yake magumu sana huwezi kumfananisha na sisi.
 
Shabiki wa simba [emoji250][emoji250][emoji23][emoji23]
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba ndio unamuona.

Kabla hajaingia lazima apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa na ana oda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Anapenda sana kubagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vipi njoo uchukue maana leo sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema huwa sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"Oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpaka unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
 
Hahahah sasa sindio biashara babu, watu wote wangekuwa hivyo si Mlimani City pangebakia duka la pipi tu na walinzi 😂😂😂!

Mwenyewe juzi nimeingia SONY Store nimeenda kuuliza OLED TV ambayo bei yake ni ghali kuliko gari nayotembelea 😂 ila very confidently nikawaahidi nitarudi after Xmas. Kwahio ni swala tu la kuheshimu wateja jamani. Hii dunia ni yetu sote kuuliza bure kuchukua na hela 😝
 
Nafikir matatizo ya customer service hua yanaanzia hapa, ndugu wafanyabiashara hebu punguzen makasiriko kidogo. Uko hapo dukani sio kwa kutoa bidhaa kwa shelfu na kumfungia mteja na kupokea hela na kurudisha change. Kuulizwa bei za bidhaa, kuonyesha bidhaa ulizonazo kwa mteja, na hata wakat mwingne kutoa ushauri ni sehemu ya biashara uifanyayo. Usijenge chuki kwa mteja wa namna hiyo anaweza kua mnunuzi wako mzuri kwa kesho, who knows?
 
Back
Top Bottom