Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba ndio unamuona.

Kabla hajaingia lazima apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa na ana oda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Anapenda sana kubagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vipi njoo uchukue maana leo sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema huwa sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"Oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpaka unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
Eti oya mzee wako leo lapita nyuma ya Banda 😂😂
 
Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.

- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti

Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia baadae", inatia sana hasira!

Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.

Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee, naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k

Kesho tena hivyo hivyo, yaani kila wiki lazima wapite hata mara 3.
Biashara ni uvumilivu mkuu , kwa Hua hajulikani nani ni mnunuzi na nani c mnunuzi cha msingi ni kuendelea kuvumilia na kua makini maana kuna wengine Hua ni wezi wanakulia timing uzubae wakupige ,

Kiuhalisia mtu akija zaidi Ya mara mbili kukusubua na ukamkariri inatakiwa tu umwambie ukwel kua haupo tayari kusumbuliwa
 
[emoji3][emoji3][emoji3]this is thimba...
Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba ndio unamuona.

Kabla hajaingia lazima apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa na ana oda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Anapenda sana kubagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.

Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.

Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..

Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vipi njoo uchukue maana leo sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema huwa sina uswahili"

Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???

Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.

Jamaa baadae anani text...
"Oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"

Hata Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.

Sasa si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpaka unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
 
Ndio maana ikitwa window shopping. Ukiona hutaki maswali ma usumbufu, weka bei kwenye bidhaa zako, mteja akija azunguke kutazama akimaliza aondoke...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.

- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti

Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia baadae", inatia sana hasira!

Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.

Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee, naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k

Kesho tena hivyo hivyo, yaani kila wiki lazima wapite hata mara 3.
Na hiyo ndio biashara Mimi hata niwe naongea na simu akiingia mteja awe ananunua awe hanunui simu naikata na nitasimama kwa heshima zote kumkaribisha anaweza asinunue lkn atapatangaza mnaongea vzr,huduma nzr na akakuletea wateja hata 100 nyuma yake...

Mimi huwa simpi pesa yangu MTU asiyeheshimu mteja yaan naingia dukani kwako uko bize na simu nakuuliza BEI unajibu huku unaendelea na simu hapo hela yangu huwezi kuipata asilan ndugu zangu wananiita mkoloni kwa.Tabia hiyo...hahaaa
 
Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.

- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti

Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia baadae", inatia sana hasira!

Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.

Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee, naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k

Kesho tena hivyo hivyo, yaani kila wiki lazima wapite hata mara 3
Kikubwa uvumilivu tu mana hujui yupi mteja yupi mpitaji biashara ngumu mkuu wazee wa window shopping wanaua sana
 
Wengi hawajaelewa mada husika.. Huwezi kuja mara 3 kwa wiki halafu unauliza tu.. Mwingine unamuuliza una sh ngap kwani anakujibu nitarudi.
 
Back
Top Bottom