Carleen
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 7,982
- 27,272
He is real talented,Usijali mdogo wangu..
Huyu reyzzap sijui anatoa wapi hivi vituko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema am afraid akiona hii atavimba..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He is real talented,Usijali mdogo wangu..
Huyu reyzzap sijui anatoa wapi hivi vituko..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]He is real talented,
Sema am afraid akiona hii atavimba..
Haha...![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hanaga shida jamaaa....
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Hapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,
Kabla hajaingia Kuingia mpira lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.
Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka Nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.
Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..
Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana leo Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"
Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???
Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.
Jamaa baadae anani nitext...
"oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"
Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.
Sasa Si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpk unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
Hao ndio wateja sasa.Wanafanya window shopping na mazoezi ya kununuaHawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.
- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti
Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia badae", inatia sana hasira!
Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.
Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee , naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k , ,
Kesho tena ivyo ivyo, yani kila wiki lazima wapite hata mara 3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sina mbavu huku khaaaa, watu wananshangaa tyuuuuhHapa kwenye biashara yangu kwa nyuma kuna banda la mpira, Sasa kuna mzee mmoja huyo Ni shabiki wa simba, basi kila kukiwa kuna mpira wa simba Ndio unamuona,
Kabla hajaingia Kuingia mpira lazima Apitie Dukani kuangalia na kuulizia bidhaa, na anaoda bidhaa nyingi kama humjui waweza useme leo Nimeula, Ana penda sana ku bagain bei, unakua mpole kumshushia sababu unaona anataka mzigo mkubwa.
Hio ndio kawaida yake, Niwepo mimi au mfanya kazi, halafu akimaliza anasema Usifunge duka Nifungie mzigo wangu Nikitoka kuangalia mpira nakuja kuchukua si tushapatana bei, basi unalazimika kuchelewa kufunga kwa sababu yake.
Akitoka hapo hutomuona,
Kwangu hii ni mara 4,
kwa mfanyakazi ndio hazihesabiki..
Jana kama kawaida, Kipindi cha kwanza kilivyoisha nikamwambia Mzee vip njoo uchukue mana leo Sitasubiri mpira uishee,
Akasema "kijana usijali mimi nikisema nimesema hua sina uswahili"
Daaa kimoyo moyo nikajisemea hivi huyu anaelewa anachokisema kweli?
Au nimemfananisha???
Kipindi cha pili kimeanza tuu nikaona ujinga huu, nikafunga nikasepa halafu nikamwabia jirani huyo mzee akija hapo hata akisimama kwenye grili mzuge nakuja halafu niambie nichukue boda fasta.
Jamaa baadae anani nitext...
"oya mzee wako leo kapitia nyuma ya banda"
Kama mteja ni mfalme, Mfalme huyu ngoja tu nimkose.
Sasa Si ujinga huu, mtu mzima kama yule anajitesa kwa uswahili mpk unapitia uwani kwa watu...?
Ukidumbukia kwenye shimo la choo utasemaje???
Ndiyoo....Mimi sijawahi kumuona@reyzzap kapishana na mtu.. Zaidi ya vituko vyake humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nadhani kama ipo lazima kuna mahali atachekesha tu..Haha...!
Wamaanisha asiye na shida ni reyzzap ama mwingine.?? Hivi sister wamjua ama wamskia.???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani dada mkubwa uliahidiwa punguzo la bei dukani kwake.?? Maana si kwa sifa hizi na mapambio..!!Ndiyoo....Mimi sijawahi kumuona@reyzzap kapishana na mtu.. Zaidi ya vituko vyake humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nadhani kama ipo lazima kuna mahali atachekesha tu..
Wengine wanapeleleza bei tu, halafu waje kukamata ristiHawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.
- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti
Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia badae", inatia sana hasira!
Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.
Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee , naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k , ,
Kesho tena ivyo ivyo, yani kila wiki lazima wapite hata mara 3.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani dada mkubwa uliahidiwa punguzo la bei dukani kwake.?? Maana si kwa sifa hizi na mapambio..!!
Haha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni nini lakini mdogo wangu??? Kuna machimbo nayahitaji Kariakoo amenihaidi kunipeleka[emoji23]
Na Kwanini na ww usiwe na lugha nzuri ya kumuuliza je " unao shiling ngapi?"Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.
- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti
Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia badae", inatia sana hasira!
Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.
Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee , naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k , ,
Kesho tena ivyo ivyo, yani kila wiki lazima wapite hata mara 3.
Wewe sio mfanyabiasha i mean wewe sio mjasiriamali kabisa tena acha hiyo kazi waajiri vijana wakuuzie, umeenda dukani kukaa au kuchat au kula unataka asumbuliwe nani ebooo weka msukule basi, Watanzania mnashida ganiHawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha.
- Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi
-Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji
-Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia
-Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao waitesti
Hapo ukiwa umejaa matumaini baada ya mihangaiko hii hawatanitupa, ghafla unaskia "tutapitia badae", inatia sana hasira!
Hawa watu ambao hawawezi kuwa wateja maana hawanunui kitu ni kero sana.
Umepumzika au unakula chakula mtu anakuja dukani kwako atakuhangaisha weee , naomba nione hicho, hebu kile, hiki sh ngapi, hebu nipunguzie, n.k , ,
Kesho tena ivyo ivyo, yani kila wiki lazima wapite hata mara 3.