Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hata mnyika yawezekana alikuwa anapigishwa magoti Kama huyu ndo maana alipotea kwenye game.Ukute hata bwana Kassim alikuwa akipigishwa magoti kama hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mnyika yawezekana alikuwa anapigishwa magoti Kama huyu ndo maana alipotea kwenye game.Ukute hata bwana Kassim alikuwa akipigishwa magoti kama hivyo.
Aliyekaa kwenye kiti ni retired president Lungu wa zambia but aliyepiga magoti ni Rais mpya wa zambia aliyepitia mateso mengi chini ya amri za bwana Lungu.
Viongozi wa Afrika huwa wana funza kichwani badala ya akili!
View attachment 1894670