Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Mtu kama dikteta alijua fika yuko miongoni mwa makundi hatarishi yanayopaswa kujilinda dhidi ya UVIKO..

Ila he was careless kila mahali na kila kitu kwake alitumia minguvu pasipo ulazima kwahiyo ni uzembe wake kujiexpose ! Kwani umesahau last year alikua mtoro siku 50 alipokua amejifungia machakani kwao kule
 

Hapo uliposema kuwa watu kuokotwa kwenye viroba sio kweli nimejua huna jipya. Na hata hayo maelezo yako mengine yote nimeyapuuza.
 

Kwa taarifa yako maandamano ni hatua ya mwisho kabisa ya kuchokwa, dalili za dhahiri za kuchokwa utaona kwenye box la kura. Kwa jinsi ccm inavyotegemea vyombo vya dola kukaa madarakani kwa shuruti, ni mtu mwenye upeo mdogo tu atasema ccm haijachokwa. Akina Elbashir, Gaddaf nk walitawala nchi zao zaidi ya miaka 30, hawakuwa wanaamini wamechokwa mpaka watu walipoingia mtaani. Na huko kote watu walikuwa hawakohoi zaidi ya kuongea mitandaoni. Huyo Magufuli uliyekuwa unamuona jemadari tungemfurahisha maana tayari watu walishalipuuza box la kura.
 
Vipo viwanda vinaanzishwa kila inayoitwa siku
Kwa trend hiyo vilikuwa vinajengwa kila mara, tunataka vile mlivyokuwa mnaleta propaganda mfu za Tanzania ya viwanda.
 
Kwani kufa ni kitu cha ajabu jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nyie ukoo wenu hamfiii

Yaani wanavyoongea utafikiri wenyewe tayari wako peponi wanakula raha. Kumbe hukumu bado iko mbele yao.
🤣🤣🤣
 
Ripoti inaonyesha ktk kipindi cha January hadi Machi baadhi ya taasisi ikiwepo TANROADS NA BANDARI zililipa wakandarasi mara mbili kwa kazi ileile .

SIJUI Mfugale alikuwa ktk hali gani kwa hili.Kifo kina mengi.
 
Sasa tuichoke CCM nani mbadala ? Hawa wapinzani uchwara ndio tuwape nchi ? Ni CCM tu mpaka 2050
 
CC: UVIKO 19
 
Hakuna cha System wala Uvuko-19. Sababu ya kifo ni hii hapa

'Siku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke ni fupi sana tena zimejaa tabu'

Kifo kwa mtu maarufu kwenye jamii hutafutiwa sababu za kuungaunga wakati kila uchao mamia ya ndugu zetu wanapoteza maisha.

It was a regular death. Rest in peace Engineer Mfugale, Engineer Kijazi, HE JPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…