Maiga wa tiss alisoma mchezo kaondolewa faster, sponsor wa JPM aka mzee wa lupaso ansigependa kijana wake kuondolewa kama angekuwa hai kaondoka faster, chief secretary mbobezi wa tiss na naibu wake walisoma mchezo faster wakaondolewa kwa Technics za covid, JPM kafuata, mzee wa buigwe mizimu ya kiha ilikataa ndo pona yake, leo tena gwiji wa madaraja kaondoka, ambaye alijua kila cent ya barabara ilivyokwenda. Very sad indeed.
Kama ni covid mbona wanashare nao shuka kitanda kimoja , chakula denda, jasho lote la usiku wapo wanadunda aka wake zao. Familia zao wako fit kabisa kasoro wao ndo Covid iliwapenda sana.
Wanaojua huu mchezo sasa hivi wako kimya hata purukushani zao za utendaji ni kama wamelowekwa maji ya barafu including PM, lukuvi,kabudi, mzee wa buigwe yupo kama hayupo, cdf, IGP etc