Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Magufuli, Kijazi na Mfugale Hawa watu kwa miaka 20 iliyopita wamefanya kazi kwa karibu sana kati ya TANROADS na Ujenzi. Hao wameshirikiana sana kugawana rushwa itokanayo na mikataba ya Ujenzi.
Ndiyo kisa wakawa wanabatiza madaraja kwa majina yao. Siyo ajabu kuona wote wanaondoka kwa COVID19
Na wamechangia sana ”nyuchi ” mbovumbovu wazinzi wakubwa hawa,
 
Hiyo jamhuri ya uzebsetan inakoelekea sio kuzuri.

Njia ni mbaya sana tena hata kama wana justification hapana asee.

Mungu hadhihakiwi, ushuke roho mtakatifu utafunulie kila palipojificha.
 
Kifo ni kifo tu hakuna mwenye kutegua hicho kitendawili..sisi ndio tunajaribu kuunganisha dots ..wewe binafsi angalia katika maisha yako umeondokewa na watu wa karibu yako wangapi...seif sharif na huyu fr privatus Kalugendo na wenyewe ni wa karibu na hayati?tuwe waangalifu aisee
 
Kifo ni kifo tu hakuna mwenye kutegua hicho kitendawili..sisi ndio tunajaribu kuunganisha dots ..wewe binafsi angalia katika maisha yako umeondokewa na watu wa karibu yako wangapi...seif sharif na huyu fr privatus Kalugendo na wenyewe ni wa karibu na hayati?tuwe waangalifu aisee
vifo viko tofauti. Kuna watu wanakufa na kupitiliza moja kwa moja jehanamu. Acha wakavune walichopanda. Hili ni somo kawamba bjnadamu tunapita. Wajifunze unyenyekevu.
 
Magufuli, Kijazi na Mfugale Hawa watu kwa miaka 20 iliyopita wamefanya kazi kwa karibu sana kati ya TANROADS na Ujenzi. Hao wameshirikiana sana kugawana rushwa itokanayo na mikataba ya Ujenzi.
Ndiyo kisa wakawa wanabatiza madaraja kwa majina yao. Siyo ajabu kuona wote wanaondoka kwa COVID19
Mkuu uwe na amani tu.
Katika ya hao wote hakuna aliyeondoka kwa corona.
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Ni hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo( anyway, labda ni kwasababu wanaipuuza).

Yaani kwa sasa picha zao za pamoja, zinaonyesha jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Tunakumbushana tu mtoa mada na wadau wengine tuendelee kuchukua tahadhar ktk kila jambo hakuna anaejua hatma yake
Screenshot_20210627-094739.jpg
 
Magufuli, Kijazi na Mfugale Hawa watu kwa miaka 20 iliyopita wamefanya kazi kwa karibu sana kati ya TANROADS na Ujenzi. Hao wameshirikiana sana kugawana rushwa itokanayo na mikataba ya Ujenzi.
Ndiyo kisa wakawa wanabatiza madaraja kwa majina yao. Siyo ajabu kuona wote wanaondoka kwa COVID19

Daraja lingine liitwe Covid
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Ni hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo( anyway, labda ni kwasababu wanaipuuza).

Yaani kwa sasa picha zao za pamoja, zinaonyesha jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Na waondoke tu kwa maana Watanzania wengi wameteseka kwa manufaa yao binafsi!
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Ni hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo( anyway, labda ni kwasababu wanaipuuza).

Yaani kwa sasa picha zao za pamoja, zinaonyesha jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Baada ya miaka 10 kuanzia sasa, panapo majaliwa yote yaliyomo sirini yatawekwa bayana...Hii aina mpya ya WMD itatumika sana.
 
Aisee mi nahisi ni hivi,

Aliyemweka madarakani J ndiye anayefanya hii kazi, hii kazi inafanyika kwa haraka haraka kwa sababu watu wa karibu na J kuna mambo ambayo wanayafahamu kwaiyo wanaondelewa ili kuficha ukweli ambao siku moja ungesemwa.

Kifo cha J kina mauzauza nyuma yake na kuna watu wanafahamu ila Hawapo kwenye kundi lile, hawa wote siku zao ziko mikononi mwa watu.
 
Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Hakuna kitu kibaya zaidi maishani kwa mtu yeyote kuwa na "ujinga na uoga" kwa pamoja kwa wakati mmoja.

Unaweza kuongeza na sifa ya 'kiburi' ukitaka.

Hakuna njama yoyote, dhidi ya hao isipokuwa hayo matatu tu basi.
 
Aisee mi nahisi ni hivi,

Aliyemweka madarakani J ndiye anayefanya hii kazi, hii kazi inafanyika kwa haraka haraka kwa sababu watu wa karibu na J kuna mambo ambayo wanayafahamu kwaiyo wanaondelewa ili kuficha ukweli ambao siku moja ungesemwa.

Kifo cha J kina mauzauza nyuma yake na kuna watu wanafahamu ila Hawapo kwenye kundi lile, hawa wote siku zao ziko mikononi mwa watu.
Wewe naona unawazak kama mimi yaani una hisia zinazofanana na zangu kuhusu hivi vifo kwa namna fulani.

All in all, inawezekana kuna mission inaendelea kutekelezwa ila kwa akili kubwa.
 
Back
Top Bottom