Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Magufuli, Kijazi na Mfugale Hawa watu kwa miaka 20 iliyopita wamefanya kazi kwa karibu sana kati ya TANROADS na Ujenzi. Hao wameshirikiana sana kugawana rushwa itokanayo na mikataba ya Ujenzi.
Ndiyo kisa wakawa wanabatiza madaraja kwa majina yao. Siyo ajabu kuona wote wanaondoka kwa COVID19
Haya sasa, hii stori inamashiko sana, bila shaka itapanda chati hii na kufika kileleni!

Mkuu, jengea 'fiction' hapa, kuna bonge la muvie ambayo inaweza kuzalisha mabilioni ya hela za madafu.
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Ni hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo( anyway, labda ni kwasababu wanaipuuza).

Yaani kwa sasa picha zao za pamoja, zinaonyesha jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Kamanda dai katiba mpya...kifo ni lazima na wewe utalala siku moja. Kifo siyo siasa zenu za bavicha. Prof. Baregu ilikuwa COVID-19?
 
kuna komenti nimeandika kwenye uzi wa tangazo la Mfugale kwenda kwa Huko!!!Nashukuru na wewe umeona hilo ndugu!!!KUNA MOVIE INAITWA ERASER imechezwa Anold schwazzenegger kaiangalie utatapata Picha ya nini kinaendelea!!!!
Mkuu, sijaona hilo tangazo kama vipi tuwekee hapa.
 
kuna komenti nimeandika kwenye uzi wa tangazo la Mfugale kwenda kwa Huko!!!Nashukuru na wewe umeona hilo ndugu!!!KUNA MOVIE INAITWA ERASER imechezwa Anold schwazzenegger kaiangalie utatapata Picha ya nini kinaendelea!!!!
Alaaa, kumbe kuna nyingine ilishatengenezwa tayari?

Basi namshauri mkuu 'Stuxnet' afuatilie mfano huo huo, kazi itakuwa rahisi sana kwake na hii muvi yetu mpya inayotengenezwa Tanzania.
 
Hawa virus washenzi kweli,,siku hizi wanakula kimyakimya ,ukianza kuhisi vibaya tu kwa heri,,yule mama aliefariki ghafla akila futari hoteli gani sijui,ni uthibisho kuwa covid wako kazini na wanatafuna kimya kimya tu,,siku hizi hukohoi wala kutoa mafua,,
Kwa msiojua huu ugonjwa ni cardiovascular disease,sio Respiratory..
Kuna dots nimeconnect hapa.
 
Phase 3 ipo hewani kwa sasa. Kuna watu wanaongelea haya matatizo kwa dhihaka lakini yapo.
Kuna wakati kizazi fulani ni muhimu kiondolewe kwa faida ya wanaobaki especially vijana.

Umefika pahala watu wanabaki kwenye madaraka miaka nenda rudi Yani ni wao tu na watoto zao hii sasa ifike mwisho either tujifunze kuachia madaraka kwa ustaarabu umri inapofika kustaafu.

Watu wamechuma hii nchi kwa miaka 35 na bado hawataki kuachia vizazi vipya. Enough kwakweli though haifurahishi but tujifunze kupumzika ukishachuma tuwe na kiasi.
 
Mtoa mada kuna code wachangiaji hawajaielewa mpaka sasa.

Ila kuna jambo linafanyika ndani kwa ndani huko kwenye system, issue ya covid ni njia ya kuficha kinachofanyika, laiti ingekuwa covid familia zao au watu wa karibu kiofisi wangekuwa wanawekwa chini ya uangalizi as you called lockdown.
 
Mtoa mada kuna code wachangiaji hawajaielewa mpaka sasa.

Ila kuna jambo linafanyika ndani kwa ndani huko kwenye system, issue ya covid ni njia ya kuficha kinachofanyika, laiti ingekuwa covid familia zao au watu wa karibu kiofisi wangekuwa wanawekwa chini ya uangalizi as you called lockdown.
Mtoto wa dada sijui kama atasalimika.
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Wanamtandao wapo na ni members wa Great thinkers the three in the pyramid shape freemason, illuminata na hao mtamalizia, na kuwa miongoni lazima uwe kwenye market appeal. kazi yangu hainiruhusu kuongeza zaidi ya kusema viapo na usajili vipo na makatao yake yana majibu.
 
Hawa virus washenzi kweli,,siku hizi wanakula kimyakimya ,ukianza kuhisi vibaya tu kwa heri,,yule mama aliefariki ghafla akila futari hoteli gani sijui,ni uthibisho kuwa covid wako kazini na wanatafuna kimya kimya tu,,siku hizi hukohoi wala kutoa mafua,,
Kwa msiojua huu ugonjwa ni cardiovascular disease,sio Respiratory..
Tunajua madokta na kauli ya jana ya wagonjwa 100+ itatumika sana kwenye spinning... , apart from The nasty great thinkers, free thinkers are equally existing in abundance. Let's keep our equations balanced
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
KUNA MTU ANAKUFA KABLA YA SIKU ZAKE MKUU?
 
Back
Top Bottom