Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Wewe naona unawazak kama mimi yaani una hisia zinazofanana na zangu kuhusu hivi vifo kwa namna fulani.

All in all, inawezekana kuna mission inaendelea kutekelezwa ila kwa akili kubwa.
Inanijia hisia ya namna hii sababu kwa utashi tu wa kibinadamu ukiwaza kwamba hawa watu ambao ni inner circle ya JPM mbona ndio wananyofoka mmoko mmoko kadri siku zinavyoenda? Kuna nini kimejificha?
 
Corona ipo na ukiizingua inakuzingua.
hawa vigogo na magonjwa yao yasio na tiba, Corona inabambataa..!
tulikosea toka mwanzo tulipo zifuata legacy za Mwendawazimu .
na tunavyochelewa kupata chanjo,
Mashaka matupu. MaCCM hatutawasamehe.
Acha ujinga wewe ulaya wamepata chanjo lkn wanakufa
 
Mtoa mada kuna code wachangiaji hawajaielewa mpaka sasa.

Ila kuna jambo linafanyika ndani kwa ndani huko kwenye system, issue ya covid ni njia ya kuficha kinachofanyika, laiti ingekuwa covid familia zao au watu wa karibu kiofisi wangekuwa wanawekwa chini ya uangalizi as you called lockdown.
Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
 
Maiga wa tiss alisoma mchezo kaondolewa faster, sponsor wa JPM aka mzee wa lupaso ansigependa kijana wake kuondolewa kama angekuwa hai kaondoka faster, chief secretary mbobezi wa tiss na naibu wake walisoma mchezo faster wakaondolewa kwa Technics za covid, JPM kafuata, mzee wa buigwe mizimu ya kiha ilikataa ndo pona yake, leo tena gwiji wa madaraja kaondoka, ambaye alijua kila cent ya barabara ilivyokwenda. Very sad indeed.
Mahiga down, BWM then, Kijazi na Maalim same day, Dr.Plan akapunch, Dr.Alcohol akasepa na hatimaye Mfugale...hatujui whos next ila huu mtiririko unaashiria kitu flani
 
Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
Mkuu,

Inawezekana mabalozi wa nyumba kumi wengi wanakufa wewe huwajui tu.

Mbona watu kibao wanaondoka kila siku?

Hao watu fulani specific unawaona vizuri kwa sababu wapo kwenye spotlight.
 
Magufuli, Kijazi na Mfugale Hawa watu kwa miaka 20 iliyopita wamefanya kazi kwa karibu sana kati ya TANROADS na Ujenzi. Hao wameshirikiana sana kugawana rushwa itokanayo na mikataba ya Ujenzi.
Ndiyo kisa wakawa wanabatiza madaraja kwa majina yao. Siyo ajabu kuona wote wanaondoka kwa COVID19
Hatujui akiba yako waliyoweka kwa Mwenyezi Mungu, Walale wanapostahi wote. Nafikiri huko mbeleni yaweza badirishwa majina km barabara tu. Mfano Tazara na Ubungo hapakuwa na sababu ya kuita hayo majina kwakweli na sasa kuleta usumbufu kwa watu.
 
Dkt Remmy Ongala aliimba wimbo ule "Kifo".
akatuambia namna kifo kilivyokwenda na rafiki yake chidumule hatimaye kifo kikamfyeka nayeye Dr Remmy...kifo hakichagui mtoto, mzee, kijana nk kinafyeka tu...

Tuombe, tusali na kujiombea mwisho mzuri, kifo kipo na kinaanza na yeyote...tupendane..
 
Corona ipo na ukiizingua inakuzingua.
hawa vigogo na magonjwa yao yasio na tiba, Corona inabambataa..!
tulikosea toka mwanzo tulipo zifuata legacy za Mwendawazimu .
na tunavyochelewa kupata chanjo,
Mashaka matupu. MaCCM hatutawasamehe.
Usha kunya ?
 
Hawa virus washenzi kweli,,siku hizi wanakula kimyakimya ,ukianza kuhisi vibaya tu kwa heri,,yule mama aliefariki ghafla akila futari hoteli gani sijui,ni uthibisho kuwa covid wako kazini na wanatafuna kimya kimya tu,,siku hizi hukohoi wala kutoa mafua,,
Kwa msiojua huu ugonjwa ni cardiovascular disease,sio Respiratory..

Kimeumana?

IMG_20210630_061151_236.jpg


Tulipoandika kukumbusha, wewe na wakulungwa huyu Jmc06 mnazikumbuka kauli zenu?
 
Akili kichwani,,Hisia nafsini,,,, maumivu moyoni
 
Phase 3 ipo hewani kwa sasa. Kuna watu wanaongelea haya matatizo kwa dhihaka lakini yapo.

Hudhani kuwa dhihaka hizo ni moja ya mambo hasi tuliyorithi tokea awamu ile.

Kujua tulipoterezea ni muhimu katika kujizatiti.
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.


Ni hisia zako tu, kumbuka Corona ipo na inafanya vitu vyake.
 
Mipango ya Mungu
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
 
Phase zote ziko very selective...🤔🤔🤔🤔

Usisahau wasio na majina wengi wanaondoka kimya kimya.

Si unajua hata wakiona uzi una flash tanzia tegemea kusikia - "kwani zamani watu walikuwa hawafi?"

Wasio na majina wengi wanakufa kimya kimya kuliko hata hao wenye majina yao.
 
Hudhani kuwa dhihaka hizo ni moja ya mambo hasi tuliyorithi tokea awamu ile.

Kujua tulipoterezea ni muhimu katika kujizatiti.
Cha muhimu ni kuachana nazo. Adui bado tunae na kupambana nae ni wajibu wa kila mmoja wetu.
 
Kamanda dai katiba mpya...kifo ni lazima na wewe utalala siku moja. Kifo siyo siasa zenu za bavicha. Prof. Baregu ilikuwa COVID-19?
Wewe ni ibambasi wa Technical au majina yamefanana mkuu?
 
Back
Top Bottom