Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Inanijia hisia ya namna hii sababu kwa utashi tu wa kibinadamu ukiwaza kwamba hawa watu ambao ni inner circle ya JPM mbona ndio wananyofoka mmoko mmoko kadri siku zinavyoenda? Kuna nini kimejificha?Wewe naona unawazak kama mimi yaani una hisia zinazofanana na zangu kuhusu hivi vifo kwa namna fulani.
All in all, inawezekana kuna mission inaendelea kutekelezwa ila kwa akili kubwa.