Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Kifo ni kifo tu hakuna mwenye kutegua hicho kitendawili..sisi ndio tunajaribu kuunganisha dots ..wewe binafsi angalia katika maisha yako umeondokewa na watu wa karibu yako wangapi...seif sharif na huyu fr privatus Kalugendo na wenyewe ni wa karibu na hayati?tuwe waangalifu aisee
Seifu Sharif alienda Chato kwa Mwendawazimu na kuambukizwa Corona huko. Mwendawazimu limesambaza sana magonjwa yake yasio na Tiba
 
Corona ipo na ukiizingua inakuzingua.
hawa vigogo na magonjwa yao yasio na tiba, Corona inabambataa..!
tulikosea toka mwanzo tulipo zifuata legacy za Mwendawazimu .
na tunavyochelewa kupata chanjo,
Mashaka matupu. MaCCM hatutawasamehe.
Wewe hapo ulipo umevaa barakoa!,unakaa distance na watu?,unanawa kila baada ya masaa kadhaa?,ukiwa mzima mshukuru Mungu sana.usiwasemee watu kuwaona wao ndio wazembe sana ktk hili.
 
Habari Wakuu.

Inafika hatua naanza kujiuliza hawa watu wanaondoka katika mazingira ya kawaida tu au kuna system inawaondoa kwa kutumia mbinu zilizoenda shule?

Yaani Bwana Yule na watu wake wa karibu wanaondoka mmoja baada ya mwingine huku yule mwingine akiponea chupu chupu baada ya Covid kumlaza kitandani na kulazimika kutumia mtungi kuokoa maisha yake ingawa leo kapanda cheo.

Naanza kujiuliza hii Covid ndio inatumika kuwaondoa maana kwa Bongo imekuwa ni too much katika kuondoa vigogo?Na kama ni Covid, mbona wanasita kuitaja?Au ndio wanatumia mwanya huu kuondoa ile inner circle yote ya Bwana Yule?

Yaani sasa napata mashaka kuwa huenda wanaishi na nyoka anaewagonga na kuwatemea sumu pasipo wao kujua. Nyoka huyo huenda asili yake ni humu humu ndani au katengenezwa kutoka huko nje ila kwa kushirikiana na wa ndani.

Hivi sasa hata ukiangalia baadhi ya picha zao za pamoja, utaona jinsi walivyopukutika mmoja baada ya mwingine mpaka unabaki kushangaa.

Kwa mtazamo wangu, hali hii sio ya kawaida wakuu unless ni hisia zangu tu.
Laana inawatafuna mkuu, Hadi bashite ataenda na maji ,ni suala la muda tu, Covid19 inasepa na wauaji
 
Wewe hapo ulipo umevaa barakoa!,unakaa distance na watu?,unanawa kila baada ya masaa kadhaa?,ukiwa mzima mshukuru Mungu sana.usiwasemee watu kuwaona wao ndio wazembe sana ktk hili.
Mwendazake alijitakia mwenyewe!, u-much know ulimponza,akaiwekea ugoko Covid19,haikumuacha!!
 
Wewe hapo ulipo umevaa barakoa!,unakaa distance na watu?,unanawa kila baada ya masaa kadhaa?,ukiwa mzima mshukuru Mungu sana.usiwasemee watu kuwaona wao ndio wazembe sana ktk hili.
Nina akili zangu timamu na najilinda sana na Corona, na kuwalinda wengine, sio yule Mwendawazimu wa Chato.
 
Rest in peace Maalim Seif Sharif , Professor Baregu and Padre Privatus Karugendo
 
Aisee mi nahisi ni hivi,

Aliyemweka madarakani J ndiye anayefanya hii kazi, hii kazi inafanyika kwa haraka haraka kwa sababu watu wa karibu na J kuna mambo ambayo wanayafahamu kwaiyo wanaondelewa ili kuficha ukweli ambao siku moja ungesemwa.

Kifo cha J kina mauzauza nyuma yake na kuna watu wanafahamu ila Hawapo kwenye kundi lile, hawa wote siku zao ziko mikononi mwa watu.
Kunywa mbege
 
Mtoa mada kuna code wachangiaji hawajaielewa mpaka sasa.

Ila kuna jambo linafanyika ndani kwa ndani huko kwenye system, issue ya covid ni njia ya kuficha kinachofanyika, laiti ingekuwa covid familia zao au watu wa karibu kiofisi wangekuwa wanawekwa chini ya uangalizi as you called lockdown.
Eti covid inabeba baba tuu familia yake hakuna anayepata hata mafua!.huu ni mchezo mchafu na Mungu atatulipia tuu mda si mrefu
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu, watu Hawa hawana raha kabisa, bidii ya kazi imeshuka sana baada ya kusoma mchezo unavyoendelea hapa nchini, -1. Cdf , 2. IGP, 3. Lukuvi, 4. Majaliwa, 5. Kabudi, 5. Mpango etc.
Kabudi nuru imepotea kabisa. Majaliwa jana kajisalimisha kwa JK.
Lukuvi kapooza, juzi pale ukumbini unamuona yupo doro.
Mpango bado atakuwa mgonjwa hajachangamka.
 
Maiga wa tiss alisoma mchezo kaondolewa faster, sponsor wa JPM aka mzee wa lupaso ansigependa kijana wake kuondolewa kama angekuwa hai kaondoka faster, chief secretary mbobezi wa tiss na naibu wake walisoma mchezo faster wakaondolewa kwa Technics za covid, JPM kafuata, mzee wa buigwe mizimu ya kiha ilikataa ndo pona yake, leo tena gwiji wa madaraja kaondoka, ambaye alijua kila cent ya barabara ilivyokwenda. Very sad indeed.
Nawahurumia wakina majariwa na kina msukuma
 
Alikuwa na matatizo yake ya miaka mingi kabla covid haijaibuka.

Punguza chuki za kijinga.
kwaiyo matatizo yake ndio yalimfanya awe anapinga kuhusu Covid19 na tahadhali zake,Kama kuvaa mask na vitu vingine? Halafu we usiniambie Mimi nipunguze chuki kwake, yeye mbona alikuwa na chuki kubwa kwetu?? Alimuweka Kabendera jail sababu tu yakutumia uhuru wake na taaluma yale kumkosoa!
alihamrisha watu ambao walikuwa kinyume nae wapewe makesi yasio na zamana, Ni mtu mpuuzi na mjinga ndio anaweza akadiliki kusimama kumtetea kiumbe mwenye roho mbaya Kama mwendazake!, Kuna mdogo wetu alikuwa na bureau de change, alifirisiwa mazima Hadi leo, na maovu mengine ambayo yanajulikana na kila mtu!!
 
Back
Top Bottom