Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

Hawa watu wanaondoka kawaida au kuna system inawaondoa kwa kutumia akili kubwa sana?

kwaiyo matatizo yake ndio yalimfanya awe anapinga kuhusu Covid19 na tahadhali zake,Kama kuvaa mask na vitu vingine? Halafu we usiniambie Mimi nipunguze chuki kwake, yeye mbona alikuwa na chuki kubwa kwetu?? Alimuweka Kabendera jail sababu tu yakutumia uhuru wake na taaluma yale kumkosoa!
alihamrisha watu ambao walikuwa kinyume nae wapewe makesi yasio na zamana, Ni mtu mpuuzi na mjinga ndio anaweza akadiliki kusimama kumtetea kiumbe mwenye roho mbaya Kama mwendazake!, Kuna mdogo wetu alikuwa na bureau de change, alifirisiwa mazima Hadi leo, na maovu mengine ambayo yanajulikana na kila mtu!!
Mkuu maneno yako ni mada inayojitegemea.

Kila mtu hakosi mema yake, JPM alimaliza matatizo yote ya ufisadi wa umeme ndani ya mwaka mmoja.

Kafufua shirika la reli linaendeshwa na wazalendo, kafufua shirika la ndege na zinakuja tatu siku zijazo.

Kawezesha madini kuchenjuliwa hapa hapa TZ.

Akaihamisha Dodoma serikali ndani ya miaka miwili waliomtangulia miaka 40 iliwashinda.

Hizo story nyingi za ukatili Ni za upande mmoja, ule wa pili haupo kwani anayesemwa yupo ndani ya ardhi kwa sasa.

Upande wa ufisadi na uonevu ambao hayati alipigana nao unao watetezi, wamejaa humu jukwaani.
 
Wewe hiyo nchi watu wanazikwa bado wakiwa hai kwa kukosa vifaa vya kupima watu kama wamekufa kweli.

Unaweza kweli kusema kwa uhakika kwamba watu hawafi kwa Covid mpaka wimbi linapotangazwa?
Usitumie nguvu nyingi kuwaza huu ugonjwa upo ni wa kutengeneza. Kwenye mambo ya siasa na uchumi kuna siri kubwa.

Mfano ndege ilobeba watu 200 inaweza itumbuliwe watu wote wafe ila unakuta mlengwa alikuwa ni mtu mmoja 199 ni wasindikizaji.huu ni mfano tu uweke ktk ulimwengu tunaoishi sasa.

Huu ugonjwa haukutwengenezwa kwa bahati mbaya.na ulilengalenga watu wa mataifa mbalimbali, sasa hao walengwa ili waguswe na sisi nzengo lazima tuumie. Na haukulenga africa

Inshort lazima mambo fulani yatimie kupitia huu ugonjwa.mtu mwenye nguvu lazima adhoofishwe kwa maradhi.
 
Haya sasa, hii stori inamashiko sana, bila shaka itapanda chati hii na kufika kileleni!

Mkuu, jengea 'fiction' hapa, kuna bonge la muvie ambayo inaweza kuzalisha mabilioni ya hela za madafu.
Kalamu1 Asante kwa ushauri. Na title itakuwa ifuatavyo:

"Mega Project Corruption and Accomplices: How COVID19 Swept The Three Confederates"
 
Kwa moja kwa moja naungana na wazo lako.

Ni kama rasharasha tu hizi yaweza nyesha hadi ya mawe.

Muda ni mwalimu mzuri.
 
Mkuu maneno yako ni mada inayojitegemea.

Kila mtu hakosi mema yake, JPM alimaliza matatizo yote ya ufisadi wa umeme ndani ya mwaka mmoja.

Kafufua shirika la reli linaendeshwa na wazalendo, kafufua shirika la ndege na zinakuja tatu siku zijazo.

Kawezesha madini kuchenjuliwa hapa hapa TZ.

Akaihamisha Dodoma serikali ndani ya miaka miwili waliomtangulia miaka 40 iliwashinda.

Hizo story nyingi za ukatili Ni za upande mmoja, ule wa pili haupo kwani anayesemwa yupo ndani ya ardhi kwa sasa.

Upande wa ufisadi na uonevu ambao hayati alipigana nao unao watetezi, wamejaa humu jukwaani.
mkuu hata mtu afanye mazuri kiasi gani,
Lakini kama katika utawala wake alikiuka haki za binadamu kuishi na uhuru wao wa kujieleza, hayo mazuri yake yote yanakosa maana, kwaiyo mwendazake alikuwa Hana utu Wala ubinadamu, na wewe shaidi wa hayo boss
 
Aisee mi nahisi ni hivi,

Aliyemweka madarakani J ndiye anayefanya hii kazi, hii kazi inafanyika kwa haraka haraka kwa sababu watu wa karibu na J kuna mambo ambayo wanayafahamu kwaiyo wanaondelewa ili kuficha ukweli ambao siku moja ungesemwa.

Kifo cha J kina mauzauza nyuma yake na kuna watu wanafahamu ila Hawapo kwenye kundi lile, hawa wote siku zao ziko mikononi mwa watu.
Si mlisema aliwekwa na Mkapa? Na mkapa naye kashatangulia? Hakuna Dhalimu litabaki hai ndani ya miaka hii 10 ijayo.
 
Mkuu maneno yako ni mada inayojitegemea.

Kila mtu hakosi mema yake, JPM alimaliza matatizo yote ya ufisadi wa umeme ndani ya mwaka mmoja.

Kafufua shirika la reli linaendeshwa na wazalendo, kafufua shirika la ndege na zinakuja tatu siku zijazo.

Kawezesha madini kuchenjuliwa hapa hapa TZ.

Akaihamisha Dodoma serikali ndani ya miaka miwili waliomtangulia miaka 40 iliwashinda.

Hizo story nyingi za ukatili Ni za upande mmoja, ule wa pili haupo kwani anayesemwa yupo ndani ya ardhi kwa sasa.

Upande wa ufisadi na uonevu ambao hayati alipigana nao unao watetezi, wamejaa humu jukwaani.
Acha kujadili hilo jizi.
 
Mada kama hizi ndio zinazidi kufanya hiyo corona ionekane vituko, yani ishakuwa inatumika kiimani potofu et corona inawaondoa watu Magufuli.
 
mkuu hata mtu afanye mazuri kiasi gani,
Lakini kama katika utawala wake alikiuka haki za binadamu kuishi na uhuru wao wa kujieleza, hayo mazuri yake yote yanakosa maana, kwaiyo mwendazake alikuwa Hana utu Wala ubinadamu, na wewe shaidi wa hayo boss
Kukosa utu ni kauli ya jumla sana,kumbuka kuna watu wamepata hati za viwanja vyao baada ya kuzungushwa miaka na miaka, hawa wametendewa haki na marehemu.

Kuna watoto waliokuwa wanakalia mawe mashuleni hawa walikalia madawati miaka mitano ya JPM, walilia sana kipindi cha msiba, hawa walitendewa haki na marehemu.

Wapo wengi tu masuala yao yaliwekwa sawa ukiwahoji watakuelezea walivyopata haki zao.
 
Kukosa utu ni kauli ya jumla sana,kumbuka kuna watu wamepata hati za viwanja vyao baada ya kuzungushwa miaka na miaka, hawa wametendewa haki na marehemu.

Kuna watoto waliokuwa wanakalia mawe mashuleni hawa walikalia madawati miaka mitano ya JPM, walilia sana kipindi cha msiba, hawa walitendewa haki na marehemu.

Wapo wengi tu masuala yao yaliwekwa sawa ukiwahoji watakuelezea walivyopata haki zao.
mkuu pole Sanaa!!! naona bado una maumivu ya kufiwa,
ukumbuke pia mke wa Azory gwanda na familia yake Hadi leo Wana majonzi kiasi gani, na kina Ben saanane,na Wengine wengi,

Acha twende na Samia Hadi #2035* ameonyesha ana utu na mwenye huruma na hofu ya Mungu,
hata akija kuvurunda huko mbele,tunachotaka watu waishi kwa amani tu,mambo ya watu kuishi kwa hofu kwenye nchi yao ni upuuzi, sawa boss!!
 
Kukosa utu ni kauli ya jumla sana,kumbuka kuna watu wamepata hati za viwanja vyao baada ya kuzungushwa miaka na miaka, hawa wametendewa haki na marehemu.

Kuna watoto waliokuwa wanakalia mawe mashuleni hawa walikalia madawati miaka mitano ya JPM, walilia sana kipindi cha msiba, hawa walitendewa haki na marehemu.

Wapo wengi tu masuala yao yaliwekwa sawa ukiwahoji watakuelezea walivyopata haki zao.
Vipi na familia za aliowapoteza kama BEN SA8 .AZORY GWANDA SIMONO KANGUYE na wengine wengi
 
Ipo namna yani kama ni ugonjwa kwanini uwe na selective sampling? Yani ukaangalia wanaonyofolewa ni watu flani specific badala ya random! Ina maana hili tatizo liko kwa ajili ya watu maalum tu? Seems like theres a specific mission ya ki undercover
Na kumbuka ile kauli ya kuaminisha umma kuwa ndg covid anadeal na aged tu, so wanaponyofolewa watu fulani aged ile imani waliyo jazwa watu kuwa wazee na wenye health problems covid haiwaachi salama ndiyo inapata nguvu.
 
Kaunguka kama Kolimba kwenye kikao hawa watu wamekufa vifo vya kawaida.
 
Back
Top Bottom